mpiganaji86
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 110
- 13
Godbless lema jembe
Leo ni tarh 2/6/2012, na kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.
Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka sasa.
Nijuavyo mwaka mpya wa serikali unaanza tarehe 1 Julai
mimi na mchumba wangu(amenipa radhi tumpigie kura ya kuwa na imani na) J.J. Mnyika aka jembe la ubungo,jembe la CDM na Jembe la vijana wote wazalendokwa niaba ya mm na familia yangu zitto zuber kabwe
J. Makamba
Nahisi hali ya hewa imechafuka, tumbo langu linavimba!!