Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Leo ni tarh 2/6/2012, na kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.

Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka sasa.

Mwaka wa serikali unaanza July 1, siyo June 1. Kwa hiyo hata kura ni batili.
 
J.J Mnyika ni mwanzo mwisho......huyu Ben Saanane namweka reserve(kichwa changu cha siku za usoni).....kuna mtu kamtaja Willie Malechela, tafadhalini sana tusiharibiane wikend wakuu
 
Zitto zuberi kabwe. Nampa kura ya kukosa imani na waziri pinda.
 
Wakuu nashukuru sana kwa ushirikiano wenu kwani kura zenu ndio zitareflect matokeo ya kazi za viongozi wetu vijana na tutayatangaza hapa ili wanasiasa wetu wajijue kabisa ni jinsi gani mpaka sasa wanavyokubalika ktkk jamii tukielekea 2015"
MCHUANO NI MAKALI SANA KWANI MPAKA SASA KUNA MAJEMBE 3 YANAKIMBIZANA.
Stay tuned...
 
Dk. hamis kigwangalla - alisimamia madai ya madaktari na kupelekwa kamat ya maadili ya ccm
Leo ni tarh 2/6/2012, na kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.

Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka sasa.
 
Dk. hamis kigwangalla - alisimamia madai ya madaktari na kupelekwa kamat ya maadili ya ccm

mkubwa! Nilijua tu lazima ujipigie kura,maana unapenda sifa sijapata kuona,hata Nape hakufikii kwa misifa.Unasema hoja ya madaktari wakati uliwasaliti baada ya kupigwa biti,hufai wewe mnafiki tu
 
Back
Top Bottom