Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Sijakubaliana na huu utaratibu unaotumika kumpata mwanasiasa bora wa Tanzania Jf.

kivip sasa?! Alafu kura ni uamuzi wa mtu, au ulitaka mpaka tendwa atangaze kwenye tbc-ccm?!
 
Leo ni tarh 2/6/2012, na kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.

Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka sasa.


I suppose mwaka mpya (New Financial Year) kwa Tanzania unaaza tarehe 1 Julai na siyo 1 Juni.
 
Kwa heshima na taadhima naomba nimpendekeze Zitto Zuberi Kabwe..
 
January makamba,Deo Filikunjombe,Mwigulu Nchemba!
 
Back
Top Bottom