Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Wakuu ahsanteni kwa ushiriki wenu mzuri maana kura zinazopigwa humu ni sample 2 ambayo inatoa taswira kwa wanasiasa wetu kwa jinsi wanavyokubalika humu jf na hata mtaani.
MPAKA SASA MCHUANO NI MKALI SANA MAANA WANSIASA KAMA
prophet lema, jj mnyika, zz kabwe, deo na lissu wanachuana vikali mpaka sasa tena kwa range ndogo inayokalibiana.

PIGA KURA YAKO..

Mkuu,
Nina mashaka kama Tundu Lissu yumo kwenye kundi la "vijana"
 
Deo Fulikunjombe is good..kuwa kwenye chama la mafisadi na kuweza kukemea rushwa hadharani inahitaji ujasiri.. I like the way alivyopresent ile issue ya TBS na magari nje ya nchi
Angekuwa Nape angesema tuyaache kulinda heshima ya chama...Big up Deo...wakikuzingua unawapiga chini unaingia upinzani
 
kwa miezi sita hii ni Deofilikunjombe jamaa alionyesha uthubutu.
 
Leo ni tarh 2/6/2012, na
kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni
bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.

Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu
yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka
sasa.

Nape Nnauye
Kwa kazi nzuri ya kuiimarisha Chadema na kuisambaratisha Ccm. Tuombe aendelee na wadifa hadi 2015 kazi itakuwa imekamilika kabisa. Dr Slaa amrudishie u DC wake Tunduru.
 
Wakuu hongera kwa wale wote walinaothubutu kupiga kura.

MWISHO WA KUPIGA KURA ni saa3:00 usiku leo, piga kura yako kwani mpaka sasa mchuano ni mkali sana. Na baada ya hapo mshindi wetu atatangazwa kupitia hapa JF.
 
Watanzania msiwe watumwa kwa wanasiasa wenu.... naona mnawageuza wanasiasa kua mungu mdogo sasa.. ndo maana kitu akiongea zito kinasikilizwa utafikiri kaongea malaika.. jamani ebu tulieni sasa na mfanye kazi kwa bidii bado umasikini ni tatizo kubwa sana nchini kwetu tuangalie jinsi ya kuumaliza wenyewe bila msaada wa hao wapumbavu ( wanasiasa) eseccially vijana jamani ....
 
watanzania msiwe watumwa kwa wanasiasa wenu.... Naona mnawageuza wanasiasa kua mungu mdogo sasa.. Ndo maana kitu akiongea zito kinasikilizwa utafikiri kaongea malaika.. Jamani ebu tulieni sasa na mfanye kazi kwa bidii bado umasikini ni tatizo kubwa sana nchini kwetu tuangalie jinsi ya kuumaliza wenyewe bila msaada wa hao wapumbavu ( wanasiasa) eseccially vijana jamani ....

umekosea sana bila wana siasa hakuna cha maana utakachofanya hasa wakiwa hawana umakini kama hawa magamba wa sasa yaaani
 
Angalisho, kuna wanasiasa vijana ambao mazingira waliyo nayo yanawapa nafasi ya kufanya hivyo kadiri ya itikadi zao. Kuna wanasiasa vijana ambao kwenda kinyume cha itikadi za vyama vyao ni ushujaa pekee kwa vile yataka moyo. Kwa mtazamo wangu Deo Filikunjombe amekuwa na ushujaa wa pekee sana kuishoshea kidole serikali ya CCM mara kwa mara bila woga kwa ajili ya kutetea wananchi wa Jimbo lake na Taifa.

Candid Scope nakuunga mkono asilimia mia. Ukiwa CCM ukafanya alichokifanya Filikunjombe ni uthubutu na ushujaa wa hali ya juu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom