Mwanasheria wa Zitto atolea ufafanuzi makosa 11 ya Zitto na wenzake

Wengi wanamchukulia ZZK kuwa ni msaliti na kwamba anapewa nguvu na ccm. Hiyo si kweli wakati mambo haya ya waraka yanaibuka kama sijakosea zitto alikuwa nje ya nchi kufuatilia mabilion ya wtz yaliyofichwa nje ya nchi. Swali INAWEZEKANAJE CCM WAMSAPORT MTU AMBAYE ANAFICHUA UOZO WA SERIKALI YAO? Je, mnaosema ccm wanamsaidia mmewahi kujiuliza swali hilo au mnalishwa tu na watu fulani fulani?
KWA MTAZAMO WANGU
kuna baadhi ya wana ccm ndani ya CDM ambao wanapandikiza chuki ili zitto aonekane msaliti ndani ya chama kwa lengo la kumzuia asiendelee na uchunguzi wake wa mabilion ya wtz yaliyopo nje ya nchi. Sasa hivi hakuna anayehoji kuhusu uchunguzi wala taarifa yake matokeo yake kila mtu anajadili kuwa yeye ni msaliti wa chama. Huo umekuwa utaratibu wa serikali kuwapa watu matukio ili waache kufuatilia mambo ya msingi. Wtz sasa umefika wakati wa kutofuatilia matukio badala yake tuangalie mambo ya msingi na kufuatilia utekelezaji wake. ACHENI USHABIKI BALI TUMIENI AKILI KATIKA MAMBO HAYA MTABAINI UKWELI.

Usiwaseme wenzako kuwa wamejibu kwa basis za ushabiki,mbona hata wewe umekaa mkao wa kumshabikia Zitto...??
Mimi binafsi sio mwanasheria ila naona kama CC bado imezingatia Katiba ya Chama. Ni hivi mtuhumiwa anapoonekana hakutenda makosa yasiyo athiri maslahi ya Chama,atachukuliwa hatua kwa kufuata utaratubu wa sheria 6.5.6(a)ikifuata kifuata 6.5.5(b) na baada ya hapo 6.5.6(c) ndio kifungu cha mwisho kabisa kutumika na mtuhumiwa anakuwa ameishakamilishiwa adhabu yake.
Lakini inapotokea dharura kama ilivyokuwa kwa akina ZZK na wenzake,hatua huchukuliwa kwa kufuata taratubu za sheria 6.5.6(d)halafu kinafuata 6.5.6(a)kitu ambacho ndio kimefanyika kwa sasa hivi maana wameishapewa baru ya wao kujileza kujibu tuhuma,na baada ya hapo hufuata kifungu6.5.6(b)na mwisho hufuata kifungu6.5.6(C)hapo tena mtuhumiwa atakuwa ameishakamilishiwa adhabu yake.
Nadhani wanasheria wa Chadema bado wako sahihi. I stand to be corrected.
 
Kweli kazi ipo maana wtz bana akinya kuku kanya, akinya bata kaharisha teh, teh, teh. Mbona kina lissu walitoa taarifa zao kwenye vyombo vya habari hamkusema, yeye katoa kwenye vyombo vya habari limekuwa kosa. Kweli ni vichekesho. Ila nisishangae sana yote hii ni mpongo wa ccm kuwavuruga wtz wasifikirie vzr kwa kuwapa elimu feki, vyeti, feki, mawazo feki, na mitazamo feki. Pia kuwafanya kuwa na akili za kupaparukia mambo kama moto wa kifuu kisha baada ya muda unaisha makali. Kweli mwaka huu serikali ya ccm imewapatia. Sasa hivi akili zote sakata la zitto.

sikubaliani na wewe hata kidogo. huko ni kukosa busara, ndio maana anashangiliwa na MaCCM tu. mtu yeyote mwenye akili ukiona unashangiliwa na adui yako ujue umeingia chaka. Zitto hawezi tu akawa anafurahia kushangiliwa na MiCCM, ina anajua anachokifanya ndio maana wenzake wamemtema.
 
Zitto nilikuwa namwona kijana mwenye akili sana ila anakosa uaminifu, badae nikagundua ana uaminifu ila anakosa uadilifu. Sasa nimegundua hata busara hana....!!
 
  1. Kama anadhani kanuni hazikufuatwa kwanini aliomba kujiuzuru nafasi yake?
  2. Kwanini alikubali kuhojiwa na kamati kuu huku akijua kanuni hazijafuatwa?
  3. Kwanini siku hiyo anahojiwa asikatae kwa kigezo kuwa kanuni hazikufuatwa?
  4. Kwanini leo hii ndiyo agundue kuwa kanuni hazikufuatwa?
  5. Kwanini akubali/aliomba kamati kuu ajiuzuru kwa makosa ambayo adhabu zake hazikufuata kanuni husika?
  6. Ni kwanini amekata rufaa wakati yeye binafsi hakufuata kanuni?
  7. Kwanini baada ya kupokea sms alikubali kuhojiwa na kamati kuu huku akijua hizo sizo taratibu?
  8. Hata kama atashinda rufaa ya kosa la awali na kufukuzwa uanachama kwa mashitaka 11 haoni itakuwa imekula kwakwe?

Wengi wameongea lakini naona wewe umekidhi vigezo vya GT. Cheers
 
Tatizo hawa jamaa wanajaribu uwezo wa zzk, jamaa yuko smart zaidi ya wanavyofikiri! Inakuhitaji akili ya ziada kumuelewa zzk

Smartness ipi katika hili? Usmart kukubali kuhojiwa awali unajua taratibu hazijafuatwa! Then unaomba kujiuzulu..Zitto ktk hili kajishusha sana japokuwa anauwezo mkubwa.
Saikolojia ya mwizi hii,akikamatwa hata kama anauwezo anaweza dhibitiwa kirahisi hata na mtoto.
 
We sembe acha ufala kama elimu ni hata ww yako n feki ----- ww.ingekuwa feki ungejua kusoma na kuandika huu upuuzi wako?umekua jf sio chombo cha kukaaqhifu serukali ndo maana kikaitwa kisima cha fikra sasa wengi mmefanya kisima cha vilaza
 
Mimi nafikiri Zitto angetafuta njia ya maridhiano kumaliza mgogoro huu, akianza mambo ya kisheria hapa mwishowe itakula kwake. Hata kama atarudishiwa nafasi zote atafanya kazi na nani katika safu hapo makao makuu. Yeye namshauri au aamue kuondoka katika chama na kujiung na chama kingine au aamue kutafuta maridhiano abaki salama ndani ya chama. Hata kama atapewa hiyo rufaa katika Baraza kuu atamwongonza nani na atakuwa anaongoza na nani? watu wa Kg bwana, ataishia ukingoni, kwani namuona kama amekaa juu ya jukwaa la maandazi chini kuna wadudu wanakula mwishi wa yote jukwaa alilosimamaia litaanguka. take care zitto acha habari ya sheria hapa. Mwishow utaomba uenyekiti wa CDM taifa kupitia mwanasheria wako anayekudanganya kumbe ulitakiwa kukaa vizuri na viongozi wenzako. Hata kama utapewa huo uenyekiti utaoongoza kupitia mwanasheria wako, tumia akili ya kawaida sana kumaliza issue hii, haihitaji hata digree, kili kosa, omba msamaha, nawe utasamehewa.

Talking about compromise. Wewe unadhani maridhiano yanafanywa na mtu mmoja? Utafanya maridhiano na watu wanaotembea mikoani kukutangaza wewe ni msaliti, mhaini? Amekata rufaa unalaumu ulitaka akubali yaishe tabia za kinafiki za kitanzania? Unauliza atafanya kazi na nani akichaguliwa kuwa mwenyekiti-si atafanya kazi na watakaomchagua. Wewe vipi bana? Unakuwa shabiki mpaka unajitoa ufahamu? Yaami wewe unaona makosa upande mmoja tu? Mzee mzima ameenda kumtukana Zitto tena nyumbani kwake wewe ulitaka Zitto afurahie? Hana uchungu yeye, amekuwa jiwe?
 
We sembe acha ufala kama elimu ni hata ww yako n feki ----- ww.ingekuwa feki ungejua kusoma na kuandika huu upuuzi wako?umekua jf sio chombo cha kukaaqhifu serukali ndo maana kikaitwa kisima cha fikra sasa wengi mmefanya kisima cha vilaza

JF imevamiwa na mazombies kibao, yenyewe yanadhani CDM ndiyo nchi na nchi ni CDM! Mambo ya uchambuzi hayataki. Yanataka kila mtu akija asifie Slaa kafunika, people's power, nonsense!
 
tunalazimika poleni saana huyo mamluki wenu wa CCM mliye tuchomekea hatumuitaji tena!!
Hata kipofu ataona mbinu zake;
Press ya Dar iliandaliwa na UVCCM
Kina Shonza, Mwz Akatumwa Gwanchele na CCM kuzungumza ule utumbo, kule Kigoma wale vijana wa mabango ni mashahidi walitumwa na CCM!!
Hamchoki?? Kateni tamaa sasa Project yenu imefeli, ZZK atatimuliwa, awe mbunge wa mahakama!! Kuifanya CDM ni CCM c. Ili tupoteze ramani ya Ukombozi sahau!!
 
Last edited by a moderator:
sasa kama katiba inakiukwa na wewe unaridhika unao sawa sawa kwa sababu ya chuki zako. Je CHADEMA ikichukua nchi itakuaje? Kama katiba yake yenyewe wanaikiuka. Msomi hawezi kuandika upuuzi kama huu wako! Au divisheni 5 wewe?
Hawa waliochukua nchi saizi wanafanya ufisadi wa kuua watanzania. Baba yako Juma Kapuya wa CCM yenu amebaka kitoto cha miaka 14 na kukiambukiza ukimwi. Mjomba wako Kinana sio raia wa Tanzania anafanya ujangili wa Tembo kila kukicha. Kapuya ni Profesa tena msomi na Division one. Ni bora mimi nibakie na division five yangu kuliko wewe na Baba yako Kapuya na division one zenu. Katiba yenu inaruhusu kubaka na ujangili wa tembo? Go to Hell
 
asiyekuwa na kazi ni SLAA aliyeko Kigoma kupinga kuchakachua Katiba ya Chama, Kuzuia Demokrasia ndani ya Chama kwa kuzuia Uchaguzi halali kwa kuhofia kupoteza nafasi za Uongozi walizonazo, kumuandalia zengwe na kumbambikizia ZZK taarifa za uongo za kukihujumu Chama kwa lengo la kum- terrorize asipiganie haki ndani ya Chama hasa kusimamia Msimamo wa Chama kama kutopokea Posho na yeye SLAA kuwa kwenye upande wa wezi na wanao kihujumu Chama na kuwasaidia watu kama akina LEma, Mbowe kufanya shughuli za Tender Board .


Upo sahihi kabisa mkuu.
 
Wengi wameongea lakini naona wewe umekidhi vigezo vya GT.
Cheers

Nitajibu kwa ujumla kwa sababu majibu ya masuali yako ndio msingi wa utetezi uliowasilishwa. Kuandika ingredients za utetezi au kwa maana nyingine maelezo ya utetezi sio sawa. Hayo yote yatatolewa muda ukifika.

Zitto aliomba kujiuzulu sio kwa kukiri makosa ila kwa sababu viongozi wenzake walisema hawamuamini. Msimamo wake ulikuwa hana sababu ya kuendelea na uongozi kama hakuna trust.

Suala hilo lingeishia hapo kama ushauri uliotolewa ndani ya kikao ungefuatwa kwamba aruhusiwe kujiuzulu. Chama bado kingeweza kumchukulia hatua zaidi hata kama angejiuzulu mwenyewe na hiyo wangetumia kama sababu. Lakini badala yake ilionekana kwamba kujiuzulu ni sifa hivyo afukuzwe!! Kosa likawa hapo. Kufukuzwa/kuvuliwa uongozi ni adhabu. Utoaji adhabu za kinidhamu lazima ufuate utaratibu kaka.

Baada ya hayo yote alitafuta ushauri wa kisheria kutokana na mazingira ya suala lake. Hakuwa na nafasi ya kutafuta ushauri ndani ya kikao kwa sababu nafasi hiyo hakupewa. Na hapo unaona kwa nini ni muhimu kumpa mtu mashtaka yake kabla ili kabla hajajitetea aweze kutafuta ushauri wa kisheria. That's basic.

Suala lake liliibuka ndani ya kikao kama dharura. Na ndivyo ilivyotokea.
 
Back
Top Bottom