Mkuu nakuongezea na hii ujue uwezo wa Korea Kaskazini:Kwani israel ameishawahi fanikisha kuingia bongo na kufanya chochote??hii ina maana kwamba bongo tuko vyema sana sio???
Watu hawaingii kuchunguza ya huko, vip tunajua sasa kwamba kamuua mjomba wako, kaka yake na anatumia kompyuta zake???
Ulishuhudia wp akiyafanya hayo?Huyu dogo huwezi kumfananisha na Sadam au Gadaff, huyu ni machine nyigine kabisa maana anaweza vuruga ukanda wote wa Korea na Japan kwa technolojia aliyonayo.
Amesoma sweden chuo gani?ebu tuanzie na hapo kwanzaPia Huyo dogo amesoma Sweeden na mashushu awakujua Kama ni mtoto WARaisi wakorea kaskazini. Mpaka baba yake alipofariki Ndio kupewa uraisi Ndio roommate wake akajua Kuwa jamaaa ni mtoto WA mkubwa Ndio dunia ikajua
North Korea ndio nchi pekee duniani raia wake wanaoishi kinyonge kuliko taifa lingine lolote lile duniani extreme communist country,raia wa North Korea haruhusiwi kutoka nje ya North Korea kwasababu yeyote ile wala hatakiwi kuwasiliana na mtu toka nje ya nchi yake,watu wote wanavaa nguo sare,viatu sare,hamna hata raia mmoja anaeruhusiwa kumiliki gari,magari yote ni mali ya serikali tu,kunyongwa ni adhabu ya kawaida sana North Korea,kwa kifupi raia wake hawajui ni kitu gani kinachoendelea nje ya nchini kwao,zile picha za majengo mazuri ni kaeneo kadogo tu ka north korea km mnazi mmoja hv kanakotumiwa kupiga picha za propaganda kuionyesha dunia kuwa north korea iko hivyo lkn ukweli ni kuwa north korea nzima umeme upo kwenye makazi ya mkuu wa nchi tu,chakula watu wote wanakula cha aina moja maisha yao ni zaidi ya jela,miaka ya 1960s na 70s north korea ilikopeshwa magari aina ya volvo na Sweden lkn iligoma kuyalipa hadi leo magari yale bado yanatembea north koreaWa N.korea raia wake siyo wanafiki yaani ni wazalendo balaa, Hapo raia wanatamani rais wao akinukishe..... Marekani anamzidi N.korea kwa propaganda tu hamna kitu kingine.....
Technilojia bila pesa marekani hawakurupuki sio kama tanzaniaHuyu dogo huwezi kumfananisha na Sadam au Gadaff, huyu ni machine nyigine kabisa maana anaweza vuruga ukanda wote wa Korea na Japan kwa technolojia aliyonayo.
Umeharibu na kujidhalilisha kwa kusema Mwafirika ana low iq.Hiyo ni Mental Slavery nduguUnafanya kosa kubwa kumlinganisha Gadafi, Sadamu Huseini &Co. na Mkorea, hao akina Sadamu ni Waarabu kama sisi Waafrika ingawaje wametuzidi kidogo ambao wana low intelligence, Wakorea ni kundi moja na Wachina, Wajapani, &Co. ni mbegu nyingine kabisa na Mzungu analijua hilo, Wakorea wanaongoza kwa high IQ Duniani hivyo kuwa mwangalifu kidogo hapo kwenye ulinganisho, kumbuka Sadamu Huseini alikutwa na chocolate za mars pmj na hollywood movies made in USA kwenye handaki lake, hata Gadafi pia alikua kutwa nzima yuko na Wazungu mpka walivyo mchenjia, lkn Mkorea (Kaskazini) mpaka operating system ya computer ni ya kwao yaani hatumii microsoft windows au sijui linux bali wana ya kwao wao wenyewe wameunda na siyo ya Mzungu hiyo ni tofauti kubwa sana!
Vifaa vyote vya akina Sadamu Huseini, Gadafi &Co. vilikuwa vinatoka kwa Mzungu hata Ikulu ya Gadafi Mzungu alijenga lkn Korea hakuna kitu kama hicho, Korea is the most secretive country in the world unaambiwa yaani hakuna anayejua kinachoendelea Korea, na isitoshe fikiria tu hakuna nchi inayoruhusiwa kufanya Biashara na Korea lkn angalia mambo wanayoyafanya, linganisha na Zimbabwe, hivyo usisahau hilo na ninakuhakikishia kamwe Mzungu hawezi kuipiga Bomu Korea hilo halitatokea, kwa maana Mkorea ana high IQ!
anamuambia ukweli. korea hawezi kupigana na mmarekani. tuwe wa kweli tu. naamini siku amerika akiamua mazima huyo pyongyan atajaribu kila silaha itamgomea. kila kitu kitakuwa frozen na hatoamini. lakini ngoja tusubiri.Mkuu unamshauri au unamtisha?
mmh! siku mmarekani akipigwa nitafurahi sana yaan karibu maamuzi yote ya nchi za africa wanaamua wao. Resources zetu wamechukua wao madini, mashamba nk na nchi yeyote ikijitutumua kutaka kuzuia unyonyaji wao serikali iliyopo madarakani inapinduliwa. yaan Kwa kweli unyonyaji wao unachoshaUnafanya kosa kubwa kumlinganisha Gadafi, Sadamu Huseini &Co. na Mkorea, hao akina Sadamu ni Waarabu kama sisi Waafrika ingawaje wametuzidi kidogo ambao wana low intelligence, Wakorea ni kundi moja na Wachina, Wajapani, &Co. ni mbegu nyingine kabisa na Mzungu analijua hilo, Wakorea wanaongoza kwa high IQ Duniani hivyo kuwa mwangalifu kidogo hapo kwenye ulinganisho, kumbuka Sadamu Huseini alikutwa na chocolate za mars pmj na hollywood movies made in USA kwenye handaki lake, hata Gadafi pia alikua kutwa nzima yuko na Wazungu mpka walivyo mchenjia, lkn Mkorea (Kaskazini) mpaka operating system ya computer ni ya kwao yaani hatumii microsoft windows au sijui linux bali wana ya kwao wao wenyewe wameunda na siyo ya Mzungu hiyo ni tofauti kubwa sana!
Vifaa vyote vya akina Sadamu Huseini, Gadafi &Co. vilikuwa vinatoka kwa Mzungu hata Ikulu ya Gadafi Mzungu alijenga lkn Korea hakuna kitu kama hicho, Korea is the most secretive country in the world unaambiwa yaani hakuna anayejua kinachoendelea Korea, na isitoshe fikiria tu hakuna nchi inayoruhusiwa kufanya Biashara na Korea lkn angalia mambo wanayoyafanya, linganisha na Zimbabwe, hivyo usisahau hilo na ninakuhakikishia kamwe Mzungu hawezi kuipiga Bomu Korea hilo halitatokea, kwa maana Mkorea ana high IQ!
North Korea ndio nchi pekee duniani raia wake wanaoishi kinyonge kuliko taifa lingine lolote lile duniani extreme communist country,raia wa North Korea haruhusiwi kutoka nje ya North Korea kwasababu yeyote ile wala hatakiwi kuwasiliana na mtu toka nje ya nchi yake,watu wote wanavaa nguo sare,viatu sare,hamna hata raia mmoja anaeruhusiwa kumiliki gari,magari yote ni mali ya serikali tu,kunyongwa ni adhabu ya kawaida sana North Korea,kwa kifupi raia wake hawajui ni kitu gani kinachoendelea nje ya nchini kwao,zile picha za majengo mazuri ni kaeneo kadogo tu ka north korea km mnazi mmoja hv kanakotumiwa kupiga picha za propaganda kuionyesha dunia kuwa north korea iko hivyo lkn ukweli ni kuwa north korea nzima umeme upo kwenye makazi ya mkuu wa nchi tu,chakula watu wote wanakula cha aina moja maisha yao ni zaidi ya jela,miaka ya 1960s na 70s north korea ilikopeshwa magari aina ya volvo na Sweden lkn iligoma kuyalipa hadi leo magari yale bado yanatembea north korea
Usijidanganye kwa nguvu za gizaanamuambia ukweli. korea hawezi kupigana na mmarekani. tuwe wa kweli tu. naamini siku amerika akiamua mazima huyo pyongyan atajaribu kila silaha itamgomea. kila kitu kitakuwa frozen na hatoamini. lakini ngoja tusubiri.
Rekebisha hapo unaposema hafanyi biashara na nchi yoyote. China ni mnunuzi mkuu wa makaa ya mawe (coal) ya N.KUnafanya kosa kubwa kumlinganisha Gadafi, Sadamu Huseini &Co. na Mkorea, hao akina Sadamu ni Waarabu kama sisi Waafrika ingawaje wametuzidi kidogo ambao wana low intelligence, Wakorea ni kundi moja na Wachina, Wajapani, &Co. ni mbegu nyingine kabisa na Mzungu analijua hilo, Wakorea wanaongoza kwa high IQ Duniani hivyo kuwa mwangalifu kidogo hapo kwenye ulinganisho, kumbuka Sadamu Huseini alikutwa na chocolate za mars pmj na hollywood movies made in USA kwenye handaki lake, hata Gadafi pia alikua kutwa nzima yuko na Wazungu mpka walivyo mchenjia, lkn Mkorea (Kaskazini) mpaka operating system ya computer ni ya kwao yaani hatumii microsoft windows au sijui linux bali wana ya kwao wao wenyewe wameunda na siyo ya Mzungu hiyo ni tofauti kubwa sana!
Vifaa vyote vya akina Sadamu Huseini, Gadafi &Co. vilikuwa vinatoka kwa Mzungu hata Ikulu ya Gadafi Mzungu alijenga lkn Korea hakuna kitu kama hicho, Korea is the most secretive country in the world unaambiwa yaani hakuna anayejua kinachoendelea Korea, na isitoshe fikiria tu hakuna nchi inayoruhusiwa kufanya Biashara na Korea lkn angalia mambo wanayoyafanya, linganisha na Zimbabwe, hivyo usisahau hilo na ninakuhakikishia kamwe Mzungu hawezi kuipiga Bomu Korea hilo halitatokea, kwa maana Mkorea ana high IQ!
Tatizo mshauri anatoa mifano saizi ndogo sana! Huwezi kulinganisha Saadam Hussein au Gadafi na dogo wa Mapank! Dogo ana makombola ya nuklia! Dogo yuko fiti kwenye cyber war! Marekani alipobeep dogo kajiandaa kupiga! Ndo maana MTU mzima kaamua kusepa! Kaona aheri aibu ya kusepa kuliko fedheha ya kuchezea kichapo!Mkuu unamshauri au unamtisha?
Hana cha kupoteza huyu kishasema.Huyo dogo kinachombeba wanaona bado mdogo akili zake bado hazijakua anachukulia mambo kitoto toto....wanamngoja afike angalao aged 45 akiishajua madhara ya vita ndo wamsugue kweli,kwa akili zake anadhani kutumia nuclear bomb ni rahisi huku hajiulizi kitakachoipata nchi yake kutoka kwa mataifa shirika ya taifa atakaloshambulia maana hawatokaa kimya lazima watamshambulia.
.....Jamaa KUNGURU huyo...Mkuu unamshauri au unamtisha?