Mwanangu Kim Jong Un

Umenifungua sana mkuu
 
Hafanani na Gadafi wala Saddam sababu hao wawili walikuwa na plenty internal enemies and snitches walioshirikiana na mercenaries.

North Korea wapo pamoja zaidi
 
Huyo dogo kinachombeba wanaona bado mdogo akili zake bado hazijakua anachukulia mambo kitoto toto....wanamngoja afike angalao aged 45 akiishajua madhara ya vita ndio wamsugue kweli, kwa akili zake anadhani kutumia nuclear bomb ni rahisi huku hajiulizi kitakachoipata nchi yake kutoka kwa mataifa shirika ya taifa atakaloshambulia maana hawatokaa kimya lazima watamshambulia.
 
Pigeni porojo, lakini hakuna taifa lingine lenye nguvu litalokuja zaidi ya marekani.
Dogo atachapwa tu. Haijalishi atachapwaje.
Tusiende mbali nenda Somalia kaulize ilikuaje USA akakimbia utajua palivomtoa jasho halafu nenda Vietnam kaangalie alivoshindwa then rudi kwa jirani yake Cuba angalia anavoitafuta amani baada ya kushindwa then utajua USA sio kila kitu anaweza!..
 
Mimi sina fact maana sipo pentagon wala piyong yang, sipendi kufanya hisia zangu ziwe fact.
Achana nao Hao wanadownload na kupost mladi hisia zao ziaminike hakuna anae jua hata Obama saiv hajuw Trump anawaza Nin kuhusu NK lakn miwatu inajaza factless thread JF
 
Mimi sina fact maana sipo pentagon wala piyong yang, sipendi kufanya hisia zangu ziwe fact.
Hahahaha hujui kwamba hata hisia vilevile huweza zikatengeneza facts na zikawa za ukweli tu na pia zisiwe za ukweli
 

Mkumbushe pia US alivyotandikwa Vietnam, usisahau kumkumbusha US alivyoaibishwa Somalia mpaka Askari wake wakaliwa maini live na kuburuzwa mitaani mpaka wakakimbia na kuondoa majeshi yao Somalia.

Mkumbushe pia kichapo wanachokula miaka zaidi kumi huko Afghanistan mpaka wameamua juzi kupiga kombora kubwa sana ambalo halijawahi kutumiwa popote kushambulia majabali.

Wamechanganyikiwa wanapigana na hewa.
 
Hahahaha hujui kwamba hata hisia vilevile huweza zikatengeneza facts na zikawa za ukweli tu na pia zisiwe za ukweli
Hapana hizo hazitaiwa fact, il mitizamo tu.shart la fact iwe ni ukweli wenyewe kwa kuona ama kushika kabisa.
 
Mkumbushe pia US alivyotandikwa Vietnam, usisahau kumkumbusha US alivyoaibishwa Somalia mpaka Askari wake wakaliwa maini live na kuburuzwa mitaani mpaka wakakimbia na kuondoa majeshi Yao Somalia.
Maandiko na habari njema kama hizi kuna watu hawataki kuziona au kuzisikia. Naamini safari hii watalazimishwa kuelewa. Acha waendeleze chokochoko maana NK haijaficha azma yake ya kujibu kwa nguvu kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…