T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,798
- 46,706
Akimwambia mchungaji ataambiwa atoe sadaka kuvunja madhabahu ya manabii ya kuzimu, tiyari hapo bwana mtumishi kashajichulia kilo kadhaa za nyama aende kula na familia yake.Hawezi kukubali jibu lako, anategemea aambiwe mtoto ana mapepo ndo aridhike.