Mwanangu ana Sickle Cell, tiba yake nini?

Wakuu Salaam,

Niende moja kwa moja kwenye mada, nina binti yangu wa miaka minne. Hivi majuzi amebainika kuwa na sickle cell kusema kweli nimechanganyikiwa sababu nasikia ni ugonjwa usio na tiba.

Naomba kujua yafuatayo;
1. Ni kweli ugonjwa huu hauna tiba?
2. Kama si kweli, tiba yake ni ipi?
3. Kama hauna tiba nini hatima yake?

Nimenyongea kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ni ugonjwa wa kurithi, kwahyo fuatilia kama familia yenu haina historia ya huu ugonjwa na basi mkeo familia yake ndo upo
 
Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.

Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.

Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Harafu unajiita baba ,mtoto anaumwa unamwachia mama yake ,unatakiwa uache shughuli zote umpeleke mtoto hospitalini

Mkeo sio ndg yako mwanao ndo ndgyako ,jitahidi umpeleke mtoto mwenyewe na umuulize Dr maswali hayo
 
Atumie mlonge kwenye chakula. Kijiko Kimoja cha chai kwenye chai asubuhi, mchana achanganye kwenye mboga au juice na jioni pia. Itachukua muda ila atapona. Huu ni ushuhuda kwa watoto wa kaka yangu walikuwa nayo toka udogoni ila sasa hivi na boarding wanasoma.
Mtoto anasickle cell anampeleka boarding maamuzi kama haya yanawacosti sana
 
Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.

Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.

Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana huyo Mkeo alikuficha vitu flani flani. Mimi pia ilishanikuta hili

Nilikuja kujuta baadae
 
Pole.

Naona huku juu umeshapata ushauri wa kuweza kusaidia.

Hilo la DNA isiwe kipaumbele sana, mtoto ameshazaliwa kwako ni wako hasa kipindi hiki cha ugonjwa usianze kuweka maulizo akilini mwako.

Zamani walikuwa wakisema baada ya miaka saba huo ugonjwa unapungua nguvu.

Pia tafuta waombaji, hata akiwa anatumia dawa na maombi yawepo, Mungu anapenda watoto, atamponya.
Asante kwa ushauri, hilo la DNA halinisumbui ni wangu tu kwa namna yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana usimtirie mashaka mkeo Kwa lolote

Nina Binti pia anaumwa, historia nilivyouliza waliniambia hawana,lakini baada ya miaka miwili mbele niligundua Kuna ndugu wa babu ya baba inasadikika walikuwa wanakufa sana

Kuuliza kiundani walikuwa na changamoto zinazofanana na sickle cell..

Maana yangu vinaweza pita vizazi hata 4 au zaidi visioneshe dalili zozote ya kuumwa ila wakawa carrier TU

Kuhusu majibu hata mm mke alipewa kikaratasi Cha kawaida TU ambacho hakikua na details za kutosha, lakini Haina maana Kuna fraud yoyote
Mimi sijaona hata kikaratasi, ila sio kesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Salaam,

Niende moja kwa moja kwenye mada, nina binti yangu wa miaka minne. Hivi majuzi amebainika kuwa na sickle cell kusema kweli nimechanganyikiwa sababu nasikia ni ugonjwa usio na tiba.

Naomba kujua yafuatayo;
1. Ni kweli ugonjwa huu hauna tiba?
2. Kama si kweli, tiba yake ni ipi?
3. Kama hauna tiba nini hatima yake?

Nimenyongea kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna jamaa mmoja nilimsikia anasema habar ya mtoto wake anasema alikuwa na changamoto hiyo na amesumbuka sana na huyo mtoto
wake mpaka kwa sasa ametengamaa na yuko darasa la saba nafikir umpigie atakwambia tiba aliyotumia ,anasema mtoto wake alikuwa analala analia na kusikia maumivu makali sana ya viungo ila kwa sasa yuko vizur nambar Yake ni 062 127 4472/
 
Kuna jamaa mmoja nilimsikia anasema habar ya mtoto wake anasema alikuwa na changamoto hiyo na amesumbuka sana na huyo mtoto
wake mpaka kwa sasa ametengamaa na yuko darasa la saba nafikir umpigie atakwambia tiba aliyotumia ,anasema mtoto wake alikuwa analala analia na kusikia maumivu makali sana ya viungo ila kwa sasa yuko vizur nambar Yake ni 062 127 4472/
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.

Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.

Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto sio wako huyo
 
Inawezekana huyo Mkeo alikuficha vitu flani flani. Mimi pia ilishanikuta hili

Nilikuja kujuta baadae
Inatesa akili sana,baadhi ya wadada huficha maginjwa ya kurithi waliyonayo kwao.Bora mtu awe muwazi,ijulikane kama unamkubali hivyohivyo au laa.Imewahi kunitokea kwenye mahusiano.Mtu hasemi,hadi nikaja kufanya jitihada zangu mwen
 
Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.

Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.

Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kapimeni tena, ni ugonjwa wa kurithi
 
The only cure for sickle cell disease is a blood and bone marrow transplant. However, this treatment is not for everyone. Many patients with sickle cell disease do not have a relative who is a close enough genetic match to be a donor. The best chance of success is for patients who have a closely matched sibling donor. Bone marrow transplants are most effective in children who have well-matched donors.
There are also effective therapies that can minimize symptoms and prolong life. For example, a medicine called hydroxycarbamide (hydroxyurea) may be recommended for people who continue to have episodes of pain.
A clinical trial found a new gene therapy to be safe and successful in four patients. The makers of two gene-based treatments for sickle cell disease are hoping for regulatory approval this year......from Bard (Google)
 
Back
Top Bottom