Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,219
- 42,091
Ok Mkuu ngoja tumsubiri lakini hili jambo Mh Waziri unapaswa kulifatilia kwa ukaribu na kujua huyo aliyewasiliana nae ni nani na walio husika lazima wafikishwe kwenye vyombo vya usalama! Mtoto awezi kufa halafu tukanyamaza tuu na ikaisha tuu lazima kuna ukweli na kuna uongo maana najua kwa hali aliyo nayo ni kama kachanganyikiwa bila shaka wewe unaweza kufanya juhudi za kuhakikisha unapata mawasiliano yake na una ujua ukweli na ikiwezekana ukae uongee nae najua wajua fika uchungu wa kupoteza mtoto!Changamoto ni yy mwenyewe mama huyu nimemuomba hiyo namba ya simu ya mtu ambaye waliongea naye Ili nimhoji, naisubiri tangu asubuhi.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app