TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,403
- 5,739
Ajajibu simple hiyo kesi itabebwa na ushahid wa namna mbiliDED alifuatwa kuulizwa na mwandishi wa habari anajibu simple tu. " mtoto amekufa kwasababu ya cancer" pumbafu kabisa yaani hii nchi Ina viongozi wa ovyo mpaka unashangaa Huwa wanateuliwa kwa vigezo Gani?
1:- ushahid wa kitabibu (ushahid mkuu) ndio TD ameuzngatia
2:- Ushahid wa mazingr kutok kwa wanafunzi
Ushahid na 1 ni muhimu kuhusian na ushahid na mbili,
Hospital:- mtoto alifikishwa akiwa na majerah makubwa (@alishambuliwa na kuumizw sehemu fulan ambako kulipelekea hali yake kuzorota na kufa
Wanafunz:- mwalimu alimchapa na kumpga ngumi ....