Dark es Salaam
Member
- Aug 22, 2011
- 14
- 10
Magazeti "huru" ya kila siku, ikiwemo Mwananchi, Nipashe, Guardian, Mtanzania leo yamepuuzia habari ya Wikileaks kuhusu tuhuma za Rais Kikwete kupewa rushwa na mfanyabiashara wa Dubai anayemiliki hoteli za Kilimanjaro.
Je, huu ni uzalendo? Self sensorship, kutishwa wasiendike au kujipendekeza kwa Rais kulikofanywa na wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari hivi? Tutafakari...
1. MWANANCHI
Mhariri Mkuu: Theophil Makunga, Mmiliki: Aga Khan (Nation Media Group)
2. NIPASHE/GUARDIAN
Mhariri Mkuu: Jesse Kwayu/Wallace Mauggo, Mmiliki: Reginald Mengi (IPP)
3. MTANZANIA
Mhariri Mkuu: Deodatus Balile, Mmiliki: Rostam Aziz (Caspian)
* Siku ambayo tuhuma za Wikileaks zimeibuka, Rais akatoa hotuba kukemea RUSHWA kwenye sekta ya ujenzi. Sura yake ilionesha kumsuta.
Je, huu ni uzalendo? Self sensorship, kutishwa wasiendike au kujipendekeza kwa Rais kulikofanywa na wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari hivi? Tutafakari...
1. MWANANCHI
Mhariri Mkuu: Theophil Makunga, Mmiliki: Aga Khan (Nation Media Group)
2. NIPASHE/GUARDIAN
Mhariri Mkuu: Jesse Kwayu/Wallace Mauggo, Mmiliki: Reginald Mengi (IPP)
3. MTANZANIA
Mhariri Mkuu: Deodatus Balile, Mmiliki: Rostam Aziz (Caspian)
* Siku ambayo tuhuma za Wikileaks zimeibuka, Rais akatoa hotuba kukemea RUSHWA kwenye sekta ya ujenzi. Sura yake ilionesha kumsuta.