Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Katika mjadala unaoendelea Clubhouse, mwananchi mmoja aliyetambulika kwa jina la Edna ameshaindwa kuuliza swali baada ya kushikwa na kilio kabla ya kuuliza swali lake kwa wazungumzaji
Kwa sauti ya kulia Edna amesema "Msigwa mwambie dada, Rais Samia afute huo mkataba, sisi hatuutaki"
Msigwa, msemaji mkuu wa serikali ambaye ni muongoza mjadala huo amemwambia Edna asiharibu mjadala, kama hana swali awape fursa wengine waulize
Habari Maelezo, inaongoza mjadala wa kuhusu bandari huko Clubhouse ambapo wananchi wanapewa fursa ya kuuliza maswali na kupewa ufafanuzi na state actors
Kwa sauti ya kulia Edna amesema "Msigwa mwambie dada, Rais Samia afute huo mkataba, sisi hatuutaki"
Msigwa, msemaji mkuu wa serikali ambaye ni muongoza mjadala huo amemwambia Edna asiharibu mjadala, kama hana swali awape fursa wengine waulize
Habari Maelezo, inaongoza mjadala wa kuhusu bandari huko Clubhouse ambapo wananchi wanapewa fursa ya kuuliza maswali na kupewa ufafanuzi na state actors