Lala salama MaundaMwanamuziki Maunda Zorro, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo (Alhamis ya April 14) baada ya gari alilokuwa amepanda aina ya VITZ kugongana uso kwa uso na lori la mchanga huko Kigamboni, Dar es Salaam.
Maunda Zorro ni mtoto wa muimbaji nguli wa muziki Zahir Ally Zorro pia ni mdogo wa mwanamuziki Banana Zorro.
Maunda Zorro aliwahi kutamba na vibao kama vile 'NATAKA NIWE WAKO' na 'MAPENZI NI YA WAWILI' ambavyo mpaka sasa vinapendwa na wapenzi wa muziki kwani ni aina ya muziki usiochuja.
Apumzike kwa Amani
=============================
Kaka wa marehemu ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Banana Zorro amesema:
"Nimezipata hizo taarifa ndio naelekea Hospitali ya Kigamboni, taarifa ni za kweli tulikuwepo kwenye msiba jioni ya leo wa rafiki yetu mwingine wa karibu, nilikuwa nae Maunda hadi jioni saa 11 hadi 12 nikarudi nyumbani kulala maana msiba ulikuwa Kigamboni na yeye anakaa Tuangoma.
"Chanzo cha kifo ni ajali ya gari, niliachana na Maunda saa 12 jioni ajali amepata mida ya saa 4 usiku, ila sina uhakika sana (wa muda aliopata ajali) hadi nikifika Hospitali maana nilirudi nyumbani nikiwa nimechoka sana."
View attachment 2186717
View attachment 2186720
Angalia kibao kisigeuke ikatokea kwenye ukoo wako.Daah bora wangekufa wanawake 50 wa JF kuliko huyu mrembo
Daladala au School bus?Daah RIP Maunda na kumbuka kipindi yupo Tabata kwa mama yake ,yy yupo form IV mimi form one tulikuwa tunapanda gari kituo kimoja,kipindi hiko pisi ya ukweli.
Jamanii uzi wa maombelezo mbona mnatuchekesha tenakumaAmayO
Daladala yeye alikiwa anapanda ya Mbagala,kituo kilikuwa kinaitwa mwisho wa darajani (Daraja la Luhanga/Mandela road).Daladala au School bus?
Hili limwaka lilishaanza kuniharibia mambo yangu aseeDaaaaaaaaah.
Huu mwaka huuu
Yy ndo alikuwa anaendesha hiyo vitz twin?Inasemekana Marehemu alikua kanywa na yeye ndiyo alihama njia kwenda kugonga Lori.
Tuwapunguzie lawama wasio na makosa
Hapana. Umekosea sana.Daah bora wangekufa wanawake 50 wa JF kuliko huyu mrembo
Mm mwenye Niko ktk Malory Hawa madereva was lorry za mchanga Ni majanga Sana tusipokuwa makini tutapoteza watz wengiJuzi tu kuna askari jamaa yetu tumetoka kuzika,gari lake liliogongoana na Lori LA mchanga.
Polisi iangalie uwezekano kudhibiti madereva wa malori ya mchanga-ni matatizo.
Wale jamaa hua wanajiona wanaendesha chuma yaaan wanaweza hawapishi,wanaingia barabara kuu bila hata kuangalia ww utajiju,wanamwendo mkali na kuovertake hata sehem sio salama wasenge sana hao jamaaa ***** zao kabisa.Malori ya mchanga ni tatizo kubwa Sana ,pamoja na Yale ya kubeba mifugo ,
kumaAmayO