Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,515
Mkuu ni kweli unachosema ,mfano ukiwa unafanya mapenzi mara kwa mara ndio unatengeneza nguvu za kiume ,na unaweza jikuta lisaa lizima hujashuka kitongaUtafiti usio rasmi, unaonyesha kua Mwanaume akiwa mchepukaji hua kila anapochepuka anakua ana chaji zaidi.
Pindi anaporudi ndani ya boma anakua na nguvu mpya ya kutoa dozi safi na kuacha heshima tofauti na yule ambaye hachepuki anategemea kula chakula cha ndani maisha yake yote. Mood humuisha na anashuka chaji.
Naombeni maoni yenu wakuu.
ila ukiwa unafanya mapenzi kwa kuvizia yaan utajikuta dakika wazungu hao