2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,069
Utafiti usio rasmi, unaonyesha kua Mwanaume akiwa mchepukaji hua kila anapochepuka anakua ana chaji zaidi.
Pindi anaporudi ndani ya boma anakua na nguvu mpya ya kutoa dozi safi na kuacha heshima tofauti na yule ambaye hachepuki anategemea kula chakula cha ndani maisha yake yote. Mood humuisha na anashuka chaji.
Naombeni maoni yenu wakuu.
Pindi anaporudi ndani ya boma anakua na nguvu mpya ya kutoa dozi safi na kuacha heshima tofauti na yule ambaye hachepuki anategemea kula chakula cha ndani maisha yake yote. Mood humuisha na anashuka chaji.
Naombeni maoni yenu wakuu.