Mwanamme mbahili pia mchoyo

Mwanamme mbahili pia mchoyo

Sista

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
3,208
Reaction score
1,038
Rafiki yangu anaomba ushauri.
Ni msichana wa miaka 28 mzuri wa tabia, ana mvuto, wife material, mrembo, mchakarikaji wa maisha. Ana mchumba wake wa miaka miwili sasa. Mchumba huyo hamjali binti kwa lolote i mean Saloon, sio vocha, nguo wala hajawahi kumnunulia hata zawadi yoyote zaidi ya kumpa mapenzi tu. Yaani pesa ya jamaa haitoki mpaka siku akitaka 'K' tu! Siku hiyo jamaa yuko tayari kulipia hotel na chakula kisha huyooo hata nauli ya kumrudisha binti nyumbani anajitegemea. pia anasema mwanamme ana pesa na ni mfanyabiashara mkubwa tu. Shostito anamshangaa jamaa anamwambia anataka kumuoa na ana wivu wa kupindukia, na hataki ampe mtu yeyote 'K' anayoigegeda yeye. Shoga anaomba ushauri afanyeje? je wanaume wote wako hivo?
 
Kila pesa hutoka kwa hesabu Mkuu.
Unadhani ht ww ukiwa na pesa utatoa hovyo
anapokwenda kugegeda ni sawa sio salon.

Ushauri mwambie aendelee kumpa hiyo
Papuchi unajua huyo jamaa ni wa hesabu
kama The Gunner.
 
huyu ndio mwanaume kamili pesa inatoka kwa mgegedo tuu...leta papuchi ndio nahudumia. hayo mambo ya salon kwako mwenyewe.

alafu yeye mwenyewe kajirahisisha miaka miwili ndii leo anaomba ushauri...loh!!! kakaa kimgegedo ndio maana jamaa anamtreat hivyo.
 
huko ni kulea ujinga .......,,,,, lol!!! hata nauli hatoi mbona anakutumia vibaya sana huyo???
kimbia hakufai na hawa matajiri inabidi kuwa makini sana smtms wanatumia nyota zetu kwa staili kama hiyo ye anatajirika we uko pale pale!!!!
 
huko ni kulea ujinga .......,,,,, lol!!! hata nauli hatoi mbona anakutumia vibaya sana huyo???
kimbia hakufai na hawa matajiri inabidi kuwa makini sana smtms wanatumia nyota zetu kwa staili kama hiyo ye anatajirika we uko pale pale!!!!

Hivi kumbe huko hotel/guest mwanaume anamtumia mwanamke e!
 
Sasa akimuoa si ndio atakuwa anamwachia mia mbili ya chakula jamani?
 
^^
Ya ki Mama Huruma au
^^

Goods n services......nnaongelea hapa ni huduma!!!kama unavyitumia sim yko ni huduma sasa salio likikata utalaumu mtoa huduma au mfuko wako???au ndo mnataka kuonewa huruma mpaka kwenye huduma za watu?????
 
Goods n services......nnaongelea hapa ni huduma!!!kama unavyitumia sim yko ni huduma sasa salio likikata utalaumu mtoa huduma au mfuko wako???au ndo mnataka kuonewa huruma mpaka kwenye huduma za watu?????

^^
Ukipewa pesa nyingi sana..hutatoa huduma I mean utafunga ofisi?
^^
 
Huyo mwanaume hafai hata kwa matumizi ya baadae, kumpa hela mpenzi wako sio kwamba anakuuzia papuchi ni moja ya njia ya kumuonesha kuwa unamjali,,, hilo dume alikujali banaa yeye linajali papuchi tu achana nae fasta mwambie akanunue hukoo kwa wanaoziuza!
 
Tatizo rafiki yako kamuendekeza miaka miwili ni mingi usikute yeye hapewi pesa wapo wengine wanapewa bila hata kuomba. Maumuzi anayo yeye kusuka ama kunyoa.
 
Back
Top Bottom