Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Heri ya Juma Kuu!
Ama baada ya salamu, naomba kurudi kwenye mada ya leo.
Hivi unapojikuta una mwanamme emotional kuliko wewe mwanamke unafanyaje?
Mwanamme ambaye hisia zake ni 'delicate' kama mtoto mchanga, si kwamba ana pretend ni kweli anakuwa anaumizwa na mambo ambayo mwingine naona ni madogo sana.
Maisha yanakuwaje pale mke anapokuwa 'strong' kihisia kuliko mwanamme?
Iwe msiba, ugonjwa, matatizo ya ndoa ya kawaida na makubwa.
Je, watoto wa kiume wanaolelewa na mama zao wanakuwa 'emotional'
Mbaya zaidi ikitokea pale mfano mzazi katangulia mbele ya haki, kuna baadhi anamfanya mke kuwa mke na mama.
Mmh, inakuwa ngumu zaidi kum-handle, natishika nikiwaza, je ikitokea ukamchit si anaweza kujimaliza?
Hebu wanamme na nyie nisaidieni.
Ama baada ya salamu, naomba kurudi kwenye mada ya leo.
Hivi unapojikuta una mwanamme emotional kuliko wewe mwanamke unafanyaje?
Mwanamme ambaye hisia zake ni 'delicate' kama mtoto mchanga, si kwamba ana pretend ni kweli anakuwa anaumizwa na mambo ambayo mwingine naona ni madogo sana.
Maisha yanakuwaje pale mke anapokuwa 'strong' kihisia kuliko mwanamme?
Iwe msiba, ugonjwa, matatizo ya ndoa ya kawaida na makubwa.
Je, watoto wa kiume wanaolelewa na mama zao wanakuwa 'emotional'
Mbaya zaidi ikitokea pale mfano mzazi katangulia mbele ya haki, kuna baadhi anamfanya mke kuwa mke na mama.
Mmh, inakuwa ngumu zaidi kum-handle, natishika nikiwaza, je ikitokea ukamchit si anaweza kujimaliza?
Hebu wanamme na nyie nisaidieni.