Vipi kuhusu kukatikaKuna kamsichana kangu kanasoma mwaka wa pili hapo cbe.
Nimekaalika kaje ghetto,pamoja na mambo mengine nikakakabidhi jiko kanipikie wali na nyama.
Aise wali haujulikani ni wali au ugali mboga ina chumvi halafu kenyewe kanajisifia eti chakula kitamu.
Nawaza leo katapika nini haka kamsichana kangu kama tu wali umekashinda.
Kwahiyo mboga haikutakiwa kua na chumvi?Kuna kamsichana kangu kanasoma mwaka wa pili hapo cbe.
Nimekaalika kaje ghetto,pamoja na mambo mengine nikakakabidhi jiko kanipikie wali na nyama.
Aise wali haujulikani ni wali au ugali mboga ina chumvi halafu kenyewe kanajisifia eti chakula kitamu.
Nawaza leo katapika nini haka kamsichana kangu kama tu wali umekashinda.
Asilimia kubwa ya videmu vya chuo havina utundu, kinachowabeba ni mavazi na labda uzuri wao na tamaa zetu wanaume.Vipi kuhusu kukatika
MfundisheKuna kamsichana kangu kanasoma mwaka wa pili hapo cbe.
Nimekaalika kaje ghetto,pamoja na mambo mengine nikakakabidhi jiko kanipikie wali na nyama.
Aise wali haujulikani ni wali au ugali mboga ina chumvi halafu kenyewe kanajisifia eti chakula kitamu.
Nawaza leo katapika nini haka kamsichana kangu kama tu wali umekashinda.
Demu mwenyewe atakua na sup maana saivi ndo wanazifanya!Kamsichana kako kalipatikana na sapu ya mapishi