ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,602
- 119,753
Duh🤣🤣Sema vina sugu za down 🤣🤣🤣
Duh🤣🤣Sema vina sugu za down 🤣🤣🤣
Hatareee 🤣🤣🤣Duh🤣🤣
Unajitoaje kwa hawa wa 90s sasa😝Hatareee 🤣🤣🤣
Najiweka kwa vibabu vya 50s 😜Unajitoaje kwa hawa wa 90s sasa😝
Utaua mama🤣Najiweka kwa vibabu vya 50s 😜
Nitaenda navyo slow 🤣🤣🤣Utaua mama🤣
I feel you rafiki .Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
View attachment 2779069
Ndo unaoa sarafu ya 50 au? SijaelewaWacha nifocus na Hela mkuu sasa![]()
Kwa kweli hicho cheo Cha waandamizi kinawafaa sana, maana dah Hana habari! yaani huyu ndio wale wanaosema "nikaachwa kama nimeacha"🤣🤣Watoto wa 2000 wanaanza mapema sana, wakijafika 25 ni waandamizi kabisa🤣
Lofa katika ubora wako. Sifugi mtu kijana then 40 midogo ni 53 anos.Waoa lini Jew
Miaka 40 sasa




amina mkuu nashukuruPole Sana bro
Tunashukuru umejiamini na kuleta mrejesho pongezi Sana
Last time nilizungumza na kukusisitiza jipe muda kumsoma huyu dada anakuficha ficha baadhi ya mamboz ....ila yote heri shukuru Mungu halikuwa fungu lako
Thank you mkuuI feel you rafiki .
Pole rafiki madaktari daima hupitia magumu sana ambayo jamii haiwezi kuelewa hata kidogo ila jua utampata mwingine
Jitahidi usiharhirike kisaikolojia
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Shukrani SanaMdogo wangu at 23 bado mdogo sana una safari ndefu sana
It's hurt kweli lakin usiumie sana nothing last long wewe investment ya miezi sita inakuumiza hivyo wenzako wamesomesha mpaka chuo kabisa na sakatoka kapa
Kazana kusoma usije pata sup