Mwanamke wangu anaolewa

Mwanamke wangu anaolewa

lijana angu jana ulivyokuwa hupatikani nikajua umejinyonga
ndio mademu walivyo esp wanawake wa tanga na zanzibar huwa wanaolewa na umri mdogo tena huyo 24 kachelewa sanaa
at our age bro inatakiwa tutumie akili sana kuliko emotion

ila itapita tuu ndio unapata exipirience sasa
kesho nakupigia kijana
 
Mdogo wangu tafuta kwanza maisha jipange ndio uoe

Ungekuwa unaeleweka kiuchumi demu wako angekupeleka Tanga ukajitambulishe kwao, taratibu za ndoa zifuate ila ameona bado unajitafuta

Yaani sasa hivi unaonekana kama mche wa sabuni hauna mbele wala nyuma. Hakuna muda wa kusubiriana umri wake unaenda

Acha aolewe akiwa na 24 wakifika miaka 30s mnaanza kuwaponda sana kuwa wasimbe, mara soko lao gumu, mara ilikuwaje hajaolewa mpaka anagonga 30s
Mkuu ninachokwambia ni kwamba demu kabadilika Ghafla Mnoo, yaani sjui nikwambiaje ila amekuwa kama kachanganyikiwa, nahisi amelogwa kabisa, wananiibia mke wangu wa NDOA Dah inauma Sana, yani binti ananipenda balaa, Hawa watu watanga nahisi wamempika.
 
Alafu ndio tunategemea Taifa lipate maendeleo kwa vijana wa aina hii?

Wewe mpumbavu acha mawazo ya ndoa na ukalitumikie taifa, umri wako bado kuwaza masuala ya ndoa,

Iyo kichwa yako siamini hata hicho chuo unasoma kweli ama unawaza ndoa
 
Mnavomshauri mnazidi kumtia jambajamba mdogo wetu, hajui ashike lipi aache lipi, tafrani tupu 🤣,, anavuta picha kwamba alipga style zote hadi akachechemea lakini haikusaidia🤣,, sasa anavuta picha vile alivomkunja kuna mtu anaenda kumkunja tena 🤣 na tena 🤣,,

Miaka 23😂
 
Mnavomshauri mnazidi kumtia jambajamba mdogo wetu, hajui ashike lipi aache lipi, tafrani tupu ,, anavuta picha kwamba alipga style zote hadi akachechemea lakini haikusaidia,, sasa anavuta picha vile alivomkunja kuna mtu anaenda kumkunja tena na tena ,,

Miaka 23
oyaaaa
 
Alafu ndio tunategemea Taifa lipate maendeleo kwa vijana wa aina hii?

Wewe mpumbavu acha mawazo ya ndoa na ukalitumikie taifa, umri wako bado kuwaza masuala ya ndoa,

Iyo kichwa yako siamini hata hicho chuo unasoma kweli ama unawaza ndoa
Wewe mkuu Sisi kuoa ni Chap Mzee watu wanaosoma Afya Wengi tunawahi kuoa 24-26 Wengi wameoa
 
mimi sio mtu wa wanawake sana , sizani kama ntapita kwa wanawake wengi .
Aise umeandika kirahisi sana hapa, so unafikiri waliokua na utitiri wa ma EX Ni watu wa wanawake Sana, mimi sio mtu wa wanawake napenda settel nashangaa list yangu inaongezeka tu relation not easy
 
stori imeendelea binti kwao washirikina


BINTI AMELOGWA KWAO NI WACHAWI
 
Mdogo wangu, you are single until you are married… huyo si mwanamke wako. Na wanawake tunasema usiache boyfriend wako akakuzuia kupata potential husband.

Kung’uta mavumbi utapona.
muwe mnasema sasa kama mmeona flani ni boyfriend material au husband material

hizi suprise mnazofanya sio poa😂
 
Back
Top Bottom