Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
View attachment 2779069