Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 798
NakaziaUtoto raha sana.
NakaziaUtoto raha sana.
Pia ni bikra 🤣Umedate naye miezi 6 umepangua ndoa zake 2?
Miezi 6 tu totoo ya kudate unaachwa unamjazia mtu kigunia cha sms??
Mngefika miaka miwili? Si uongeomba press conference uiambie nchi nzima?





kuna siku utatafutwa nje ya jf upigwe


Ila si utamtetea?😅Umeona eee
Atapigwa kama ngoma![]()
Pole Sana broAiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
View attachment 2779069
Anakuwaje mwanamke wako bila kumuoa?. Kama hauko tayari, kaa pembeni walio tayari kuoa waoe binti akaenjoy maisha kuja kulialia hapa haitakusaidia.Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
View attachment 2779069
Maumivu yapo tu .....ila kupitia JF yataisha harakaNilichokupendea una umri mdogo ila inaonyesha umeshakuwa gumegume,maana uandishi wako hata hauonyeshi kama imekuuma😅😅
Waoa lini Jewdronedrake mshauri ndugu yako.
Maumivu yake yapo partially sana🤣🤣🤣check alivyoanza kuandika kwanza kapiga ha haaaaa Dar es salaam joto,,,yaani kaandika kama matured personMaumivu yapo tu .....ila kupitia JF yataisha haraka
Vitoto vya 90s visumbufu sana🤣🤣198…
Watoto wa 2000 wanaanza mapema sana, wakijafika 25 ni waandamizi kabisa🤣Nilichokupendea una umri mdogo ila inaonyesha umeshakuwa gumegume,maana uandishi wako hata hauonyeshi kama imekuuma😅😅
Sema vina sugu za down 🤣🤣🤣Vitoto vya 90s visumbufu sana🤣🤣