Mwanamke wangu anaolewa

Mwanamke wangu anaolewa

Ndio maisha mdogo wangu.
Teana kwa dar hii, hilo usiliogope mabinti wa umri huo wanafosiwa sana kuolewa na akiingia ktu mkenge anatupiwa mzigo. Don’t worry life is a practice not a rehearsal.
Endelea kucheka , enjoy, mabinti ni wengi, kama wenzangu walivyotangulia kusema.
 
Miezi 6 tu totoo ya kudate unaachwa unamjazia mtu kigunia cha sms??

Mngefika miaka miwili? Si uongeomba press conference uiambie nchi nzima?


Toa ushauri acha michambo we Khadija Kopa
 
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.

Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.

Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.

Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.

Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.

Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.

Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23

Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.

Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.

Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.

Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat

Nimedate nae kwa miezi 6.

View attachment 2779069
Pole Sana bro

Tunashukuru umejiamini na kuleta mrejesho pongezi Sana👏

Last time nilizungumza na kukusisitiza jipe muda kumsoma huyu dada anakuficha ficha baadhi ya mamboz ....ila yote heri shukuru Mungu halikuwa fungu lako
 
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.

Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.

Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.

Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.

Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.

Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.

Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23

Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.

Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.

Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.

Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat

Nimedate nae kwa miezi 6.

View attachment 2779069
Anakuwaje mwanamke wako bila kumuoa?. Kama hauko tayari, kaa pembeni walio tayari kuoa waoe binti akaenjoy maisha kuja kulialia hapa haitakusaidia.
 
Wewe bado maisha hujayajua,, nafikiri ukue kwanza nyie madogo wa 2000's kichwani n sifuri kabisa ,,

Tafuta maisha achana na upuuzi huu

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Nilichokupendea una umri mdogo ila inaonyesha umeshakuwa gumegume,maana uandishi wako hata hauonyeshi kama imekuuma😅😅
Watoto wa 2000 wanaanza mapema sana, wakijafika 25 ni waandamizi kabisa🤣
 
so amekuchezea then akakutema.
 
Back
Top Bottom