Mwanamke wangu anaolewa

Mwanamke wangu anaolewa

Kuna mmoja aliniambia kapata mchumba mi nikamtakia maisha mema, na bwanaake akanitumia meseji kuwa niachane na huyo mwanamke nikakubaliana nae.

Sasa zikapita siku kadhaa yule mwanamke akaanza kunitukana bila sababu yaani kawa na hasira kisa nimemruhusu aolewe! kosa langu ni kumuacha aendelee na mahusiano yake mapya kwa amani, mara ajitetee kuwa eti hamtaki huyo mchumba eti ni mama yake ndo alimpikia hadi chakula lakini wameshakubaliana na mama yake kuwa hataolewa na huyo mwanaume, mi kimoyomoyo nikamuona ye na mama yake ni kama matapeli tu vipi wakubaliane na mtu alafu wapange mpango wa kumzunguka? nikaendelea na msimamo wangu mahusiano yameisha kama alivyotaka.

Hawa viumbe hawajui wanataka nini kuna muda wanakua na pressure ya kuolewa wanajikuta wanataka kote mwisho wa siku wanakosa kote.
 
Achana naye....ila na uhakika jamaaa yake asipo perfom vizuri....basi utaletewa wewe uichakate....nipo nimekaa pale.
 
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.

Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.

Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.

Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.

Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.

Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.

Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23

Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.

Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.

Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.

Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat

Nimedate nae kwa miezi 6.
 
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.

Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.

Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.

Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.

Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.

Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.

Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23

Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.

Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.

Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.

Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat

Nimedate nae kwa miezi 6.

View attachment 2779069
kizazi cha 2000 hakiishiwi utoto
 
Back
Top Bottom