Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,801
- 113,360
😂 inaanza na mwaka gani?Nina NIDA yako 🤣🤣🤣
😂 inaanza na mwaka gani?Nina NIDA yako 🤣🤣🤣
Nyie me ndo mna hekaheka kutulia mpk mmalize shape za mashavu ya kei zote ni mtihani 🤣🤣🤣🤣Na angejuta kweli maana nyie 😬
Au basi
Hv umeona hapo pa kupiga mpk anachechemea 🤣🤣🤣🤣 wanaume wa jf wataacha lini sifaaaSema namuonea huruma bwana harusi sababu mkewe kiporo kitapashwa anytime na mjuba 😂😂😂
Jiraaaani 😎😀Nyie me ndo mna hekaheka kutulia mpk mmalize shape za mashavu ya kei zote ni mtihani 🤣🤣🤣🤣
Sasa asiseme 😂Hv umeona hapo pa kupiga mpk anachechemea 🤣🤣🤣🤣 wanaume wa jf wataacha lini sifaaa
Mwanamke alikua anamtumia jamaa kama stendi tu wakati akisubiri usafiri wake uwadie.Mpaka anaolewa halafu unamuita mwanamke wako? Hakuwa wako huyo.
Mwanamke wako haolewi.
Hata kazi huna unawaza ndoa,pathetic!Tafuta hela kwanzaAiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nak
View attachment 2779069
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
kizazi cha 2000 hakiishiwi utotoAiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
View attachment 2779069
🤣🤣🤣 miongo balaaHv umeona hapo pa kupiga mpk anachechemea 🤣🤣🤣🤣 wanaume wa jf wataacha lini sifaaa
😂 tanguliza hata pole mkuuMpaka anaolewa halafu unamuita mwanamke wako? Hakuwa wako huyo.
Mwanamke wako haolewi.