Mwanamke wangu anaolewa

Mwanamke wangu anaolewa

Miaka 23 unawaza kuoa mwaka ujao.
Ndo maana mnazichoka ndoa haraka.
sisi ambao tunatoka kozi za Afya Tunapenda sana Kusettle wengi wakifika Mwaka wa intern katika umri wa miaka 24 wanaoa na ndoa zinadumu , asilimia kubwa between 24 - 26 wanaoa hapa chuoni na Wanatoboa wengi tu.
 
sisi ambao tunatoka kozi za Afya Tunapenda sana Kusettle wengi wakifika Mwaka wa intern katika umri wa miaka 24 wanaoa na ndoa zinadumu , asilimia kubwa between 24 - 26 wanaoa hapa chuoni na Wanatoboa wengi tu.
Sawa mkuu, utapata mwingine.
 
Nyumbani wanamfosi aolewe , Tanga sjui wanashida gani
Mdogo wangu tafuta kwanza maisha jipange ndio uoe

Ungekuwa unaeleweka kiuchumi demu wako angekupeleka Tanga ukajitambulishe kwao, taratibu za ndoa zifuate ila ameona bado unajitafuta

Yaani sasa hivi unaonekana kama mche wa sabuni hauna mbele wala nyuma. Hakuna muda wa kusubiriana umri wake unaenda

Acha aolewe akiwa na 24 wakifika miaka 30s mnaanza kuwaponda sana kuwa wasimbe, mara soko lao gumu, mara ilikuwaje hajaolewa mpaka anagonga 30s
 
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.

Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.

Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.

Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.

Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.

Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.

Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23

Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.

Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.

Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.

Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat

Nimedate nae kwa miezi 6.

View attachment 2779069
lijana angu jana ulivyokuwa hupatikani nikajua umejinyonga
ndio mademu walivyo esp wanawake wa tanga na zanzibar huwa wanaolewa na umri mdogo tena huyo 24 kachelewa sanaa
at our age bro inatakiwa tutumie akili sana kuliko emotion

ila itapita tuu ndio unapata exipirience sasa
 
Jamaa kashaharibu ndoa ya watu.kasema Hadi bi harusi anapofanyia kazi ?
 
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.

Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.

Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.

Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.

Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.

Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.

Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23

Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.

Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.

Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.

Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat

Nimedate nae kwa miezi 6.

View attachment 2779069
Njoo inbox turekebishe hilo suala kama uko serious..

Nakuhakikishia hakuna ndugu wakuja kuharibu mahusiano yenu
 
Back
Top Bottom