Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 21,709
- 51,135
Pole mdogo wangu.hamna nimeumia mpaka ikafika sehemu nacheka![]()
Pole mdogo wangu.hamna nimeumia mpaka ikafika sehemu nacheka![]()
Kama umezuia ndoa zake 2 ndani ya miezi 6 huku ukiwa kwenye mahusiano naye unafikiri huyo alikuwa na mpango na wewe kikweli?
sisi ambao tunatoka kozi za Afya Tunapenda sana Kusettle wengi wakifika Mwaka wa intern katika umri wa miaka 24 wanaoa na ndoa zinadumu , asilimia kubwa between 24 - 26 wanaoa hapa chuoni na Wanatoboa wengi tu.Miaka 23 unawaza kuoa mwaka ujao.
Ndo maana mnazichoka ndoa haraka.
Sawa mkuu, utapata mwingine.sisi ambao tunatoka kozi za Afya Tunapenda sana Kusettle wengi wakifika Mwaka wa intern katika umri wa miaka 24 wanaoa na ndoa zinadumu , asilimia kubwa between 24 - 26 wanaoa hapa chuoni na Wanatoboa wengi tu.
Mdogo wangu tafuta kwanza maisha jipange ndio uoeNyumbani wanamfosi aolewe , Tanga sjui wanashida gani
lijana angu jana ulivyokuwa hupatikani nikajua umejinyongaAiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
View attachment 2779069






Highness anakuulizia 😂😂Lofa katika ubora wako. Sifugi mtu kijana then 40 midogo ni 53 anos.
Access denied.Highness anakuulizia 😂😂
Ulitaka alipeleke India Au Qatar?Hili nalo umeona ulilete huku!
😂😂😂Miezi 6 tu totoo ya kudate unaachwa unamjazia mtu kigunia cha sms??
Mngefika miaka miwili? Si uongeomba press conference uiambie nchi nzima?
Mkuu hili alipaswa alipeleke huko Palestina au Israel wakamsaidieUlitaka alipeleke India Au Qatar?
Ujumbe umfikie 😂Mkuu hili alipaswa alipeleke huko Palestina au Israel wakamsaidie
Njoo inbox turekebishe hilo suala kama uko serious..Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana, mimi tu nikiwa nae tumepangua ndoa zake 2. Naona sasa imeshindikana kabisa kunisubria maana nimebakisha mwaka mmoja wa kusoma, nasoma Miaka minne kozi ya Afya na nlimuahidi ntamuoa na ndiyo ilikuwa Plan yangu.
Jana nilidhani ni utani, leo nimeenda Hospital Sinza palestina anapofanyia kazi kuconfirm.
Manzi anaolewa tarehe 12/ 11 wafanyakazi wapale wameniambi. Hiyo ni meseji alintumia jana.
Nimechoka Mpaka Ikabidi nicheke. Binti ana miaka 24 , mimi ni 23
Yaani mpaka jana asubuhi tumecheka vizuri and we were good.
Kupiga nilipiga vizuri mpaka alichechemea ila Shida nyumbani, Binti anatokea Tanga.
Anyway nimeamua Kufuta namba zake na memories zote. Tutajaribu tena Kwa mwingine.
Baada ya meseji hapo juu nilituma meseji nyingi sana na Nilikuwa nampenda Sikumcheat
Nimedate nae kwa miezi 6.
View attachment 2779069