Mwanamke wangu anachat mda wote

nilichojifunza mimi hapa ni kuwa unapata kushea uhalali wa mawazo yako na kama hilo kweli ni tatizo. mara nyingi maamuzi hata kama tatizo ni kuwa busara ya maamuzi ni kwako. ila inatupunguzia kuwaza sana hasa wanaume ambao si wambea kuongea haya kwa marafiki. unaaa nalo hdi.stroke. thanks jf ukishauriwa inasaidia sana! japo kuna watu wana jokes sana humu
Thanks rafik
 
Makusudi mwenzio jeuri,

Kama kamwaga ugali, na wewe mwaga mboga sasa iwe ngoma droo
 
mtindo huu wa kuwasiliana na wanaume wengine na kufuta msg umekuwa kawaida sana sana kwa wanawake. na mara nyingine wanaume hao wanawasisitiza kufanya ivo kama wanajua mwanamke una mume, au mchumba. shame upon them!
ha a hahah
 
Muache tu, ikiwa anakusaliti, uongo haudumu milele. Ipo siku utamdaba tu
 
Jamani naombeni ushauri mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi.
Pole sana, ukieza afungunye virago arudi kwa baba
 
Back
Top Bottom