Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Ndo ataelewa....kuwa mmewe hapendi ubize Wa kuchat kila maraAtaitiwa Mwizi
Ndo ataelewa....kuwa mmewe hapendi ubize Wa kuchat kila maraAtaitiwa Mwizi
UWE UNAMSEMESHASEMESHA KIDOGO NA WEWEE LOH.. UKIFIKA NA WE UKO BIZE NA SIM KWAHIYO HAPO NI NGOMA DROO.. UCLIELIE..Jamani naombeni ushauri mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi.
Nasema akiichukua hiyo simu ataitiwa Mwizi na mwisho wa yote hili litatokea====Mwanafunzi SAUT auawa kizembeNdo ataelewa....kuwa mmewe hapendi ubize Wa kuchat kila mara
Hakuna haja ya kuondoka nayo....atie tuu kwenye ndoo ya maji.......Nasema akiichukua hiyo simu ataitiwa Mwizi na mwisho wa yote hili litatokea====Mwanafunzi SAUT auawa kizembe
Hizo ni hasira mbaya maana kesho yake ataenda kumnunulia nyingine na kuchat kama kawa. Maana siku hizi simu haiepukiki kwani atatakiwa kuwasiliana naye pia. Kuna njia ya kupata kile anachochat katika simu yake tu.Hakuna haja ya kuondoka nayo....atie tuu kwenye ndoo ya maji.......
Hahahaaaaa..haya mkuu...wacha aendelee kuchatHizo ni hasira mbaya maana kesho yake ataenda kumnunulia nyingine na kuchat kama kawa. Maana siku hizi simu haiepukiki kwani atatakiwa kuwasiliana naye pia. Kuna njia ya kupata kile anachochat katika simu yake tu.
Natamani wananchi wakupe 'likes' million moja mkuu!!!.... You made my day!!!Manyoya unayaona na hujui kinachotokea...?
Nyie vitoto vya siku hizi bana!
Teh teh ... Kazi ipo kwa kweliNyie ndo mnao wafumania wake zenu kwa bed na mwanaume wakiwa uchi zen unamuuliza wanafanya nn

maumivuJamani naombeni ushauri mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi.
nilichojifunza mimi hapa ni kuwa unapata kushea uhalali wa mawazo yako na kama hilo kweli ni tatizo. mara nyingi maamuzi hata kama tatizo ni kuwa busara ya maamuzi ni kwako. ila inatupunguzia kuwaza sana hasa wanaume ambao si wambea kuongea haya kwa marafiki. unaaa nalo hdi.stroke. thanks jf ukishauriwa inasaidia sana! japo kuna watu wana jokes sana humuHivi unafikiri msaada wa hapa utakuwa ni zaidi ya maamuzi yako?