rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Manyoya unayaona na hujui kinachotokea...?
Nyie vitoto vya siku hizi bana!
"Habari unayo.. ngoja muhariri aje"Jamani naombeni ushauri mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi.
Nawew kuwa bizee n cm yako..!! Af utaonaaJamani naombeni ushauri mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi.
Duh! kwa ushauri huu asipochanganya na za kwake imekula kwake.ushauLi wangu endelea kumnunulia bando
Halafu inatemea kwa jamaa...Duh! kwa ushauri huu asipochanganya na za kwake imekula kwake.
Nimechukua cm yke