Mwanamke wangu anachat mda wote

Mwanamke wangu anachat mda wote

Jaman naombeni ushauli mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi
Balance story ili usaidike,wewe mwenyewe sahivi usiku upo jf kwanini yeye asikuwazie tofauti,acha wivu utakumaliza,presume anakupenda wewe zaidi kuliko hata hao anao chat nao, tena inaonekana anakuheshimu maana aachi conversations, maana huchelewi kumuhisi kila rafiki yake.
 
Ni jipu huyo mwanamke.Tengua uteuzi wake kupisha uchunguzi.Anaonekana ni cha wote.
 
Jaman naombeni ushauli mwanamke wangu mda wote anachat na simu na ukiangalia simu yake hukuti meseji hata moja na hataki kupokea simu kila akiwa na mimi
Fatilia Kwanza Ujue Kma Hizo "Chati" Zina Madhara Kwenye Uhusiano Wenu.
 
" ushauli" wangu endelea kuvumilia Tu kwa kwa kweli maana unampenda kwa kiwango ambacho ajili yako haifanyi kazi tena.
 
Kama hujaelewa kinachoendele nenda kwa sangoma...........unapigiwa ww zinduka
 
chukua cm uondoke nayo, akupigie yowee la mwizi then uje ulete mrejesho hapa.
 
Mwanamke wako?
Kwani umemuoa au yeye gari?
 
Kama ni mke ushamuoa mnunulie simu mpya jifanye kama ni suprise alaf mwambie umuwekee line muitest.Chukua line aliyo nayo sasa weka kwenye sim mpya futa majina yote.Na kwenye sim ya zamani futa contacts zote.The chukua hiyo sim ya zamani uwe nayo wewe.Akiuliza mwambie ni bahati mbaya.Then mwambie nimekununulia sim kwa sababu naona unachati sana labda unaochati nao ndo wenye simu hiyo ya zamani.Kuanzia leo sitaki kukuona upo bize na sim.Asipokuelewa mwambie ndo hivyo na sirudii kusema.Kama ni mke mwenye akili atakuelewa.
Kama siyo mke ni just mchumba huyo bado anachagua wa kuwa nae hajakukubali bado.
 
Kama ni mke ushamuoa mnunulie simu mpya jifanye kama ni suprise alaf mwambie umuwekee line muitest.Chukua line aliyo nayo sasa weka kwenye sim mpya futa majina yote.Na kwenye sim ya zamani futa contacts zote.The chukua hiyo sim ya zamani uwe nayo wewe.Akiuliza mwambie ni bahati mbaya.Then mwambie nimekununulia sim kwa sababu naona unachati sana labda unaochati nao ndo wenye simu hiyo ya zamani.Kuanzia leo sitaki kukuona upo bize na sim.Asipokuelewa mwambie ndo hivyo na sirudii kusema.Kama ni mke mwenye akili atakuelewa.
Kama siyo mke ni just mchumba huyo bado anachagua wa kuwa nae hajakukubali bado.
huo nao ushauri mzuri. jingine afanye mpango wa kumfichia simu na kumfanya yeye atoke, au hata akiingia bafuni unaondoka nayo kwa muda zitaingia msg utajua kinachoedelea. lakini pia ukichukua kwa kumfichia kwa muda utajua tu mahangaiko yake. na hiki la Executive sister muhimu. kama ni mchumba, tupilia mbali.kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom