Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mmebarikiwa sana.
Juzi mke wangu amefanya tukio lililonishangaza kwani hajawaifanya alichokifanya muda wote nilioishi naye. Tunaishi kwenye nyumba ya kupanga ndan ya geti tupo wapangaji wawili na mwenye nyumba maana yake nyumba kubwa ya mwenye nyumba na familia yake na vyumba vya nje vya wapangaji ila wote tunatumia geti moja.
Siku iyo mwanamke wng alichelewa sana kuoga akawa anajizungusha tu ilipofka saa sita usku ndo akatoka kuoga cha ajabu nikawa naskia kama mtu anaogea nje skutilia maanani kwamba n yeye maana naamin hawez ogea nje wakati bafu lipo na taa zpo umeme upo.
Aliporud ndan nikamuuliza kwanini unaogea nje kwa kweli hakunipa majibu yanayoeleweka ila niliwaza sana je mwenye nyumba na mpangaji mwenzetu hawakuskia mtu anaoga nje na kama wameskia watatafsiri vp?
Uyu mwanamke amekuwa na wivu sn nahisi kadanganywa na marafk wamempa madawa aoge usku ili aniweke kiganjan au nimskilize yeye tu hz n hisia zng je wadau mnasemaje?
Juzi mke wangu amefanya tukio lililonishangaza kwani hajawaifanya alichokifanya muda wote nilioishi naye. Tunaishi kwenye nyumba ya kupanga ndan ya geti tupo wapangaji wawili na mwenye nyumba maana yake nyumba kubwa ya mwenye nyumba na familia yake na vyumba vya nje vya wapangaji ila wote tunatumia geti moja.
Siku iyo mwanamke wng alichelewa sana kuoga akawa anajizungusha tu ilipofka saa sita usku ndo akatoka kuoga cha ajabu nikawa naskia kama mtu anaogea nje skutilia maanani kwamba n yeye maana naamin hawez ogea nje wakati bafu lipo na taa zpo umeme upo.
Aliporud ndan nikamuuliza kwanini unaogea nje kwa kweli hakunipa majibu yanayoeleweka ila niliwaza sana je mwenye nyumba na mpangaji mwenzetu hawakuskia mtu anaoga nje na kama wameskia watatafsiri vp?
Uyu mwanamke amekuwa na wivu sn nahisi kadanganywa na marafk wamempa madawa aoge usku ili aniweke kiganjan au nimskilize yeye tu hz n hisia zng je wadau mnasemaje?