Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
na mimi ni kama nimeliona hilo kazi kweli kweli
ninaamini Heaven on earth huyo mwanamke anayesema ana makelele angepewa nafasi ya kufunguka pengine tungeshangaa sana na ninaamini na yeye anamvumilia mengi sababu anampenda na ndio maana mtoa mada hawezi kusema ni aina gani ya makelele yaliyokuwa yanapigwa. huyo mwanamke anampenda ndio maana anaomba msamaha ili yaishe na si kwamba jamaa yuko parfect kama anavyo jaribu kueleza.
Last edited by a moderator: