Mwanamke wa makelele mi sioi

Mwanamke wa makelele mi sioi

kb52

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
336
Reaction score
110
Nilikua na mpenzi...nikamheshimu..nikampa baadhi ya siri zangu...nikamuamini. Nikajitahidi kumpenda kwa uwezo wangu na kumfanyia mema yaliyo ndani ya uwezo wangu. Lengo langu ni baadae tuoane. Mapenzi yalianza moto..tukawekeana principals za kuishi. Baada ya muda...mwanamke akawa na ghubu. Full makelele....hasikii...ukimwonya vitu haelewi. Kitu kidogo anakikuza kinakua kikubwa...mbaya zaidi ni kutoa maneno ya ndani nje..anatangazia dunia nzima. Kila siku yeye anataka ugomvi...hata kama ukijitahidi vipi kufanya mazuri au kujifanya zuzu...yeye makelele ndio furaha yake. Ikafika stage nikafanya maamuzi...kimya kimya nikamuacha bila kujua...nikawa bize na ratiba zangu na kua mbali nae.

He!.siakaanza kunitafuta kwa udi na uvumba..full kupiga masimu ovyo kila kukicha. Nikamblock..akawa anatumia line tofauti. Ikafika stage nikaamua kupokea simu yake....full kulia huku anaongea..kwamba nimsamehe.

Kwa kua tayari nilikua nshamsoma tabia yake ya kusambaza maneno ya chumbani kwa watu...na mtu wa ugomvi kila mara...nikamaikiliza then nikamwambia kama kamaliza kuongea then nikakata simu.


Nawashauri wanawake...mkipata wenzi..tulieni...acheni midomo au kushow matabia ya makelele kwa wanamme....au kutokua na privacy. Kitu kidogo kikitokea...unaenda kuwaambia watu million...kusuhulisha na mwenzi wako hutaki. Ukishashauriwa na watu ndio unarudi tena...huku siri zote unapeleka nje kuwafaidisha watu bure.


Mapenz ni ya wawili.....mlikutana wawili..na mnatiana wawili sehemu ya privacy. Kutoa siri nje au kutaka mashauri ya nje ni sawa na kutiana stand ya posta kila mtu anaona.



Kale ka mlio ka clouds fm..."Noma sanaaa"
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376404284360.jpg
    uploadfromtaptalk1376404284360.jpg
    22.6 KB · Views: 854
yani hata ujui ni lugha gani utumie na wapi utumie. kwa ulivyo andika ni wazi ulikuwa chanzo cha makelele.

ALAF SWALA LA KUSEMA ULIMWAMBIA SIRI ZAKO SIJAJUA KAMA HIYO NI SIRI MAANA INGEKUWA SIRI UNGEKAA NAYO NA AMEKUFUNDISHA KUTUNZA AKIBA YA MANENO.


Tatizo letu wana jf huwa tukileta habari tunataka kuonekana tuko parfect. hivi hicho kipindi chote yeye pekee ndio alikuwa anakosea?
 
Ujumbe umenigusa directly



Lkn unatakiwa uelewe hakuna aliekamilika, kila binaadamu ana mapungufu yake.
 
Kaka ruta...nadhani hujaelewa somo...lengo langu ni kuwaelewesha wadada ambao wanamuomba Mungu awape wenza....wanapewa..then..wanajisahau na kuanza kuleta problems ambazo hazivumiliki. No one ia perfect ruta...hata mimi nilikua namkosea....but tofauti ni jins mnavyoweza kuyasolve mambo yenu ili muweze kua familia bora yenye kuheshimika katika jamii. Sio familia ambayo hata watoto wetu washindwe kuchumbiwa kwasababu mtaa mzima unajua sisi wazazi ni watu wa magomvi. Umenielewa Ruta
 
yani hata ujui ni lugha gani utumie na wapi utumie. kwa ulivyo andika ni wazi ulikuwa chanzo cha makelele.

ALAF SWALA LA KUSEMA ULIMWAMBIA SIRI ZAKO SIJAJUA KAMA HIYO NI SIRI MAANA INGEKUWA SIRI UNGEKAA NAYO NA AMEKUFUNDISHA KUTUNZA AKIBA YA MANENO.


Tatizo letu wana jf huwa tukileta habari tunataka kuonekana tuko parfect. hivi hicho kipindi chote yeye pekee ndio alikuwa anakosea?

na mimi ni kama nimeliona hilo kazi kweli kweli
 
Pole kaka ila c wote wapo hvyo ni huyo tu na hakufai kbs. Mwambie wa2 wanatafuta waume wa aina yako. Ndo imeshakula kwake. Mambo gani ya chumban anatoa nje? Ya kitandan?
Nilikua na mpenzi...nikamheshimu..nikampa baadhi ya siri zangu...nikamuamini. Nikajitahidi kumpenda kwa uwezo wangu na kumfanyia mema yaliyo ndani ya uwezo wangu. Lengo langu ni baadae tuoane. Mapenzi yalianza moto..tukawekeana principals za kuishi. Baada ya muda...mwanamke akawa na ghubu. Full makelele....hasikii...ukimwonya vitu haelewi. Kitu kidogo anakikuza kinakua kikubwa...mbaya zaidi ni kutoa maneno ya ndani nje..anatangazia dunia nzima. Kila siku yeye anataka ugomvi...hata kama ukijitahidi vipi kufanya mazuri au kujifanya zuzu...yeye makelele ndio furaha yake. Ikafika stage nikafanya maamuzi...kimya kimya nikamuacha bila kujua...nikawa bize na ratiba zangu na kua mbali nae.

He!.siakaanza kunitafuta kwa udi na uvumba..full kupiga masimu ovyo kila kukicha. Nikamblock..akawa anatumia line tofauti. Ikafika stage nikaamua kupokea simu yake....full kulia huku anaongea..kwamba nimsamehe.

Kwa kua tayari nilikua nshamsoma tabia yake ya kusambaza maneno ya chumbani kwa watu...na mtu wa ugomvi kila mara...nikamaikiliza then nikamwambia kama kamaliza kuongea then nikakata simu.


Nawashauri wanawake...mkipata wenzi..tulieni...acheni midomo au kushow matabia ya makelele kwa wanamme....au kutokua na privacy. Kitu kidogo kikitokea...unaenda kuwaambia watu million...kusuhulisha na mwenzi wako hutaki. Ukishashauriwa na watu ndio unarudi tena...huku siri zote unapeleka nje kuwafaidisha watu bure.


Mapenz ni ya wawili.....mlikutana wawili..na mnatiana wawili sehemu ya privacy. Kutoa siri nje au kutaka mashauri ya nje ni sawa na kutiana stand ya posta kila mtu anaona.



Kale ka mlio ka clouds fm..."Noma sanaaa"
 
Obama wa Bongo....mambo nini blaza...hihihihihi.....umetimiza 18+ lakin??..au ndo kupiga chabo tu mwisho uchomwe na mdenge jichoni....
 
Nilikua na mpenzi...nikamheshimu..nikampa baadhi ya siri zangu...nikamuamini. Nikajitahidi kumpenda kwa uwezo wangu na kumfanyia mema yaliyo ndani ya uwezo wangu. Lengo langu ni baadae tuoane. Mapenzi yalianza moto..tukawekeana principals za kuishi. Baada ya muda...mwanamke akawa na ghubu. Full makelele....hasikii...ukimwonya vitu haelewi. Kitu kidogo anakikuza kinakua kikubwa...mbaya zaidi ni kutoa maneno ya ndani nje..anatangazia dunia nzima. Kila siku yeye anataka ugomvi...hata kama ukijitahidi vipi kufanya mazuri au kujifanya zuzu...yeye makelele ndio furaha yake. Ikafika stage nikafanya maamuzi...kimya kimya nikamuacha bila kujua...nikawa bize na ratiba zangu na kua mbali nae.

He!.siakaanza kunitafuta kwa udi na uvumba..full kupiga masimu ovyo kila kukicha. Nikamblock..akawa anatumia line tofauti. Ikafika stage nikaamua kupokea simu yake....full kulia huku anaongea..kwamba nimsamehe.

Kwa kua tayari nilikua nshamsoma tabia yake ya kusambaza maneno ya chumbani kwa watu...na mtu wa ugomvi kila mara...nikamaikiliza then nikamwambia kama kamaliza kuongea then nikakata simu.


Nawashauri wanawake...mkipata wenzi..tulieni...acheni midomo au kushow matabia ya makelele kwa wanamme....au kutokua na privacy. Kitu kidogo kikitokea...unaenda kuwaambia watu million...kusuhulisha na mwenzi wako hutaki. Ukishashauriwa na watu ndio unarudi tena...huku siri zote unapeleka nje kuwafaidisha watu bure.


Mapenz ni ya wawili.....mlikutana wawili..na mnatiana wawili sehemu ya privacy. Kutoa siri nje au kutaka mashauri ya nje ni sawa na kutiana stand ya posta kila mtu anaona.



Kale ka mlio ka clouds fm..."Noma sanaaa"

Hapo kwenye red, Una tatizo wewe.......!
 
Asante kwa somo, Asnam uache zile tabia zako za umbea umbea la sivo utakula kibuti ujue, af ntakuja kukumwaga humu mjengoni.
 
Hapo kwenye red sina tatizo blaza....nnaposema maneno ya chumbani simaanishi sijui kumfikisha....namaanisha. ..mambo ya wawili hayapaswi kutolewa nje..mpaka yale bwana angu ananitia ivi au vile etc.

Najua kwann ameniganda mpaka sasa...ni kwasababu ya upole..si unajua sie wasukuma hatuna makuu...kumjali...na shughuli ya kitandan....koz slogan yangu ni mwanamke kwanza. Sharti..akojoe mara mbili ndio na mimi nakojoa...lile bao lake la tatu tunakojoa wote

Ni wanamme wachache wanaowafanyia ivo wanawake....wengi ni wabinafsi
 
Si kama ww unavotuambia saiv apo,,, wa2 buku tumeshajua so,,, !!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Hapo kwenye red sina tatizo blaza....nnaposema maneno ya chumbani simaanishi sijui kumfikisha....namaanisha. ..mambo ya wawili hayapaswi kutolewa nje..mpaka yale bwana angu ananitia ivi au vile etc.

Najua kwann ameniganda mpaka sasa...ni kwasababu ya upole..si unajua sie wasukuma hatuna makuu...kumjali...na shughuli ya kitandan....koz slogan yangu ni mwanamke kwanza. Sharti..akojoe mara mbili ndio na mimi nakojoa...lile bao lake la tatu tunakojoa wote

Ni wanamme wachache wanaowafanyia ivo wanawake....wengi ni wabinafsi


Mh!...................!
 
Ni kweli niandika hapa but sitegemei kumpa nafasi tena. Nimeandika ili liwe fundisho kwa wanawake wenye tabia hizo chafu. Wakipendwa wanajiona wao ndio wao na kujiona kua hata kwa dawa hawataachwa.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376406490076.jpg
    uploadfromtaptalk1376406490076.jpg
    27.6 KB · Views: 224
yani hata ujui ni lugha gani utumie na wapi utumie. kwa ulivyo andika ni wazi ulikuwa chanzo cha makelele.

ALAF SWALA LA KUSEMA ULIMWAMBIA SIRI ZAKO SIJAJUA KAMA HIYO NI SIRI MAANA INGEKUWA SIRI UNGEKAA NAYO NA AMEKUFUNDISHA KUTUNZA AKIBA YA MANENO.


Tatizo letu wana jf huwa tukileta habari tunataka kuonekana tuko parfect. hivi hicho kipindi chote yeye pekee ndio alikuwa anakosea?

. Umenena loya
 
Never go back to an old love...utakufa. Fanya research utaelewa namaanisha nni. Ukiachana na mtu..songa mbele
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376406700975.jpg
    uploadfromtaptalk1376406700975.jpg
    9.8 KB · Views: 1,201
Back
Top Bottom