ConsciousMan
Member
- Mar 28, 2018
- 56
- 67
Habari, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale. Wengi wenu natumai mu wazima wa afya.
Naomba niende kwenye maada. Nipo hapa kutafuta mwanamke ambae nitazaa nae mtoto/watoto bila ya kuwa kwenye ndoa (mahusiano ya kawaida tu).
Ndoa inaweza kufata tukielewana vzuri
Umri wangu ni miaka 31, mjasiriamali.
Awe mwanamke anaejielewa
Dini yoyote
Mawasiliano ni t.rooki@yahoo.com
Pia unaweza ukani Dm
Naomba niende kwenye maada. Nipo hapa kutafuta mwanamke ambae nitazaa nae mtoto/watoto bila ya kuwa kwenye ndoa (mahusiano ya kawaida tu).
Ndoa inaweza kufata tukielewana vzuri
Umri wangu ni miaka 31, mjasiriamali.
Awe mwanamke anaejielewa
Dini yoyote
Mawasiliano ni t.rooki@yahoo.com
Pia unaweza ukani Dm