Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
namkubali kweli deokaman, ila sasa kasheshe ni kuwa nimemzimikia BIDAM.....cjui kama deokman ataniachia....lol
Kama ukiona Misil anakuzingua muunge mkono Deokman na Yusin na Kim Chunchu! ukiona wote wanakuchanganya nenda pale jirani yao nchi ya Baekje, kuna general Gye Baek, huwa ni mtu poa sana na atakupokea...