ebana nimejibu jibu ambalo hukustahili kujibiwa, ila jibu langu serious huyo mwanamke sio wa kuoa mkuu, mwanamke kama huyo anaweza kuuza utu wake kwa ajili ya hela, labda mwanamke akiwa na shida serious akiomba hela labda hapo mtu unaweza ona aibu kushindwa kutoa, lakini huyo wa siku mbili huyo hafai, na uwezo wake wa kufikiri pia utakua mdogo kumgeuza mwanaume uliyekutana nae jana kitega uchumi, niamini mkuu wanawake wazuri wapo na utapata wife mzuri mtafutaji achana na kejeli za hapa