Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

EMMYGUY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
11,115
Reaction score
25,414
Salam wadau!

Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi.

Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu nimemtongoza, ameanza kuniomba pesa kwa wingi. Nami najiuliza, kwa hali hiyo ya kuniombaomba pesa mara kwa mara ananichuna au anahitaji pesa zangu??

Nahitaji msaada Wakuu maana sielewi hata nifanyeje mpaka mda huu.
 
Ndio kuchunguzana kwenyewe anatest uvumilivu wako na reaction unapoombwa hela ili aone kama utamfaa kwa miaka mingi ya ndoa au la.
 
EMMYGUY huko ndo kuchunguzana anti, kwa hiyo name wewe mwambie akupe papuchi kwanza ndio utampa hela.
 
Last edited by a moderator:
Anafaa kuolewa,pia huwezi kupata ambae haombi pesa,wewe ndio ajira yake
 
mkuu uliposema siku mbili umemaanisha?
 
Kwakweli inabidi waunde umoja maana wametuchosha kila siku lawama hizi hizi, wanaume na nyie mmezidi ubahiri khaaaah!! Kwani mkitoa mnakufa?

Wanataka wapewe wao.....hivi wanaume wa siku hizi mmekuaje....?.....kwa nini hamtaki kutoa hela......?.........ua bila kumwagiliwa mnadhani litapendezaje......?......
 
Wanataka wapewe wao.....hivi wanaume wa siku hizi mmekuaje....?.....kwa nini hamtaki kutoa hela......?.........ua bila kumwagiliwa mnadhani litapendezaje......?......

Mie nashindwa hata kuwashangaa kwakweli!! Huu ubahiri gani sasa na kukalamika tuuuu kama gari bovu, mwanamke gharama jamani hebu toeni tu msisubiri hadi tuwaombe, khaaaaaah!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom