Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Kaunga marafiki wengi hawatumii nguvu kumaliza kazi huwa wanakula kiulainiiii tena bila hata kutongozana Mtambuzi hajajuaKama ni rafiki wa ukwelii hawezi fanya hivyo. Na kama akifanya basi hafai; maana hakufai, anataka kutumia weekness zako (si ulikuwa unamsimulia) kukutumia tu.
Nitafanya nini? Nitavunja urafiki coz nitamchukia automatically!
Tena baada ya kupiga shughuli ndio mnaulizana status ya mahusiano yenu eti ni wachumba au marafiki? Coz wamejikuta washaharibu bila kujua
Last edited by a moderator: