Mwanamke usiniulize haya..!

ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Lakini aulize my everything β™₯ weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Usipopenda kuulizwa nawe usiulize mwache awe huru azurure atakavyo subiria arudi muda anaotaka
 
ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. [emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]
Lakini aulize my everything [emoji813] weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn [emoji3059][emoji3059][emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Lakini aulize my everything β™₯ weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜πŸ˜πŸ˜
Sa kwa nini na wewe uwe na pisi mbovu πŸ˜ƒ
 
Dah! Watu tuko tofauti sana, mimi nikiulizwa unataka kula nini leo hapo tayari ameharibu siku yangu, huo kwangu huwa nahisi ni mtihani mkubwa kuliko wa kidato cha nne.
 
Mimi ambalo silipendi kupita yote ni unarudi saa ngapi ..nachukia kweli hasa shida za usafiri hapa mjini
 
ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Lakini aulize my everything β™₯ weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜πŸ˜πŸ˜
ila matumizi ya l na r ni janga la taifa
 
Kama mwanaume ni muhm kutokutabrka maswali kama hayo hatujibu ni mtego wanawake wote dunian nima-FBI
 
Mkuu tupunguze mfumo dume wakat mwingine..
Hivi mpaka karne hii kuna mwanaume akiulizwa yote hayo anahisi mwanamke wake anampanda kichwani?
Kwa mwanamke anaeuliza ni kwamba anajali , Na siku ukiacha kuulizwa hivyo jua ushachokwa mzee , na utaona utofaut mkubwa sababu mapenz yatakua hakuna tena kinachowaweka n mazoea tuu.
 
Nikiwa nina ugomvi nae wala simuulizi lolote...
Ikiwa tupo normal .
Nakuuliza kulingana na najua ulipo.
Kama
Ushatoka kazini
Umekula leo
An soo on
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…