Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,193
^^
Kuna wanawake ambao ni kana kwamba hawana chujio la maneno akilini mwao.Hutamka tu maneno bila kujua athari za baadae ktk mahusiano yao.Kauli hizi wawe makini nazo;
..
..NIMEWAHI KUPENDWA NA WANAUME WAZURI KULIKO WEWE!!
Kauli hii haipendezi masikioni mwa mwanaume.Kama we ni mzuri kwa nini upo na mimi nisie mzuri?
..
NITAMBULISHE BASII KWA HUYO RAFIKI YAKO
Hapa jitahidi kuwa na subira mpaka atakapoamua kukutambulisha mwenyewe vinginevyo unapenda kujua kipimo cha wivu wake.
..
KWA NINI HUKUBALI UMESHINDWA?
Kauli hii ni kama huna imani nae.Matatizo ktk maisha ya mwanaume ni jambo la kawaida.Hapendi kulinganishwa na kushindwa.
..
WANAUME WENZAKO WANAWEZA,,WE MWANAUME GANI?
Hapa unatafuta kadi nyekundu bila sababu.Wanaume hawapendi kulinganishwa.
..
YAANI MPAKA TULIONGELEE LEO LEO AMA SIVYO PATACHIMBIKA
Hapa mwanaume anajua ana makosa,anaweza kuhisi huko unaenda kumlaumu.Na kama mpo ktk uchumba atajua huna tabia ya kuongea mambo kwa hekima.Ni mwanamke mtawala.
..
MBONA RAFIKI ZANGU WANAPEWA KILA WANACHOWAOMBA WANAUME ZAO?
Iwe ni pesa,mavazi,magari,au mengineyo,unatakiwa ujue kuwa kila mtu ana maisha yake.Kulazimisha upewe tu kila unachotaka ni heri ukawafuata hao
..
KAMA NI HIVYO BASI HUNIPENDI,,EE HUNIPENDI
Wanaume hawapendi kulazimishwa kutimiza wajibu wao ilimradi tu ndio njia ya kuthibitisha upendo wake kwako.Ukikutana na mwanaume kichaa,hata uwe mzuri kupita uzuri wenyewe atafanya juu chini akuthibitishie kutopendwa kuna maana gani
^^
Kuna wanawake ambao ni kana kwamba hawana chujio la maneno akilini mwao.Hutamka tu maneno bila kujua athari za baadae ktk mahusiano yao.Kauli hizi wawe makini nazo;
..
..NIMEWAHI KUPENDWA NA WANAUME WAZURI KULIKO WEWE!!
Kauli hii haipendezi masikioni mwa mwanaume.Kama we ni mzuri kwa nini upo na mimi nisie mzuri?
..
NITAMBULISHE BASII KWA HUYO RAFIKI YAKO
Hapa jitahidi kuwa na subira mpaka atakapoamua kukutambulisha mwenyewe vinginevyo unapenda kujua kipimo cha wivu wake.
..
KWA NINI HUKUBALI UMESHINDWA?
Kauli hii ni kama huna imani nae.Matatizo ktk maisha ya mwanaume ni jambo la kawaida.Hapendi kulinganishwa na kushindwa.
..
WANAUME WENZAKO WANAWEZA,,WE MWANAUME GANI?
Hapa unatafuta kadi nyekundu bila sababu.Wanaume hawapendi kulinganishwa.
..
YAANI MPAKA TULIONGELEE LEO LEO AMA SIVYO PATACHIMBIKA
Hapa mwanaume anajua ana makosa,anaweza kuhisi huko unaenda kumlaumu.Na kama mpo ktk uchumba atajua huna tabia ya kuongea mambo kwa hekima.Ni mwanamke mtawala.
..
MBONA RAFIKI ZANGU WANAPEWA KILA WANACHOWAOMBA WANAUME ZAO?
Iwe ni pesa,mavazi,magari,au mengineyo,unatakiwa ujue kuwa kila mtu ana maisha yake.Kulazimisha upewe tu kila unachotaka ni heri ukawafuata hao
..
KAMA NI HIVYO BASI HUNIPENDI,,EE HUNIPENDI
Wanaume hawapendi kulazimishwa kutimiza wajibu wao ilimradi tu ndio njia ya kuthibitisha upendo wake kwako.Ukikutana na mwanaume kichaa,hata uwe mzuri kupita uzuri wenyewe atafanya juu chini akuthibitishie kutopendwa kuna maana gani
^^