Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,190
- Thread starter
- #41
Mnakera, ndio maana wakati mwingine mnastahili kuambiwa maneno kama hayo. Kwani nyie ni kina nani mpaka msiambiwe, mbona hata nyie mna midomo michafu, tunawavumilia. Na nyie vumilieni kama ni rahisi.
^^
Ukweli ni jambo jema ikiwa utaelezwa kwa namna inayofaa.Ktk maumbile mwanamke anaogopa aibu mwanaume hapendi dharau..Sijakuzuia kusema,ni hadhari tu ya kulinda mahusiano ambayo ungependa yadumu.
^^