Loveeness78
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 280
- 294
Naomba usinitukane mpuuzi wewe Mwenye mawazo chakavu!Jidanganye, huyo anayekumbia amechoka na ndoa anakuwa anakupa faraja tu we we na usimbe wako!
Sababu hata yeye akilimwa taraka na mmewe ataishia kuangua kilio!
Kwa nin kilio?
Msimbe ni wewe usiejua nni nini unachotaka maishani unaishi kwa kufurahisha watu.
Mimi siishi kuwafurahisha watu naishi maisha ninayoona yanifurahisha. NAJUWA NI NINI NATAKA NA NiNAKIFUATA!
Wewe kama unaona ndoa inakufurahisha ishupalie mwenyewe. Usitukane watu na Kutaka waishi unavyotaka wewe!
Wewe kumuita mtu msimbe! Unaweza kunipa faida ya ndoa hata moja hapa!
Zaidi ya unafiki uliojaa ndoani! Watu hawongeleshani wiki nzima ndani, harafu wakitoka nje wanavaa nguo za vitenge sare!!
Mwanaume ana vimada nje, na mwanamke kangang' ania ndoa kwa sababu tu amezalishwa watoto wanne anashindwa pa kwenda!!!!!!