uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,789
- 4,451
NikuoeAisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..
NikuoeAisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..
Ee mwaya njoo unioe maana sio kwa masimango hayaNikuoe
Hilo halipingiki, huzun, wasiwasi, kutojiamini, huishia kuwa na maisha magumu!Hapo ninaunga mkono hoja, nilishafanya maongezi na wanawake wanne tofauti wenye age tajwa hapo juu na kuelezea hali hy kwa huzuni kubwa sn
Ngoja nije pm tuanze kupanga maandalizi ya harusi.isiwe na bwebwe nyingi sana.Tusije choka sana tukashidwa kuenjoy vizuri honeymoonEe mwaya njoo unioe maana sio kwa masimango haya
Ngoja nije pm tuanze kupanga maandalizi ya harusi.isiwe na bwebwe nyingi sana.Tusije choka sana tukashidwa kuenjoy vizuri honeymoonEe mwaya njoo unioe maana sio kwa masimango haya
Hayo maamuz ndo yanawachanganya mpk mnatembea uchi kila kukicha mkitaka huduma nje ya ofisi(ndoa) za watu?? Ww una uwezo wa kukaa muda gani K yako haijapandisha nyege!!?Maisha ni maamuzi, ni kusimamia kile unachoamua.wacheni kututia ujinga, kwani wao si waoe tunawahusu nini!
Tatizo watu wanaamini kuwa ndoa ni fever kwa mwanamke, mnajidanganya!!! mwanamke anaweza kutoolewa na akaishi vizuri kuliko mwanaume asie oa.
Mafanikio ya mwanamke ni kufikishwa kileleni na (mume)Very very true.Noted.

Kasome tena, umebadilisha maandiko! Na imeandikwa ni marufuku kubadili, kuongeza au kupunguza neno kwenye kitabu kitakatifu!Sio vibaya kujipa moyo
lakin Mungu ameandika na amepiga na muhuri kwamba binti ataacha wazazi wake na ataambatana na mumewe.
Ukawasaidiaje?Hapo ninaunga mkono hoja, nilishafanya maongezi na wanawake wanne tofauti wenye age tajwa hapo juu na kuelezea hali hy kwa huzuni kubwa sn
Thumb up!!!Heee! Mm naona wanawake wengi walioolewa kila siku wanalia hawana amani kabisaaa! Wengi wameishia kuwa walokole na kuangukia mikononi mwa wachungaji waharibifu. Cha maana ni kutulia na kuomba Mungu akupe mume mwema kinyume na hapo, better being alone than with ill company!
Nakufa hadharani.Watu mkikosa wa kuoa mna stress! Acheni kutusumbua hata tusipoolewa tunafanikiwa na kuwa na furaha pia.
Ukijipenda sana wala hutawaza kuolewa coz u have to find happiness alone sio kusubr mtu akupe furaha...
Tupo na tushatangaza nia tunahitaji "majimbo ya uchaguzi"Tatizo waowaji wamepungua sana
Ulipotelea wapi siku zote hizo!?Aisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..
Sijawahi sikia mwanaume akienda kwa waganga/kanisani kuombewa apate mke, lakini kwa manawake hilo ni jambo la kawaida.Maisha ni maamuzi, ni kusimamia kile unachoamua.wacheni kututia ujinga, kwani wao si waoe tunawahusu nini!
Tatizo watu wanaamini kuwa ndoa ni fever kwa mwanamke, mnajidanganya!!! mwanamke anaweza kutoolewa na akaishi vizuri kuliko mwanaume asie oa.