Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Eti kwani na wewe eti una stress, eti unajiona sio timilifu eti na umeathirika kisaikolojia na unaishi kama mkimbizi? LolAisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..
Eti kwani na wewe eti una stress, eti unajiona sio timilifu eti na umeathirika kisaikolojia na unaishi kama mkimbizi? LolAisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..
Naaam mkuu, mwanaume mwenye stress na pesa barabarani anatembea kama mwehu!ndoa inawapa wanawake stress kama pesa inavyotupa stress sisi wanaume.
Naaam mkuu, mwanaume mwenye stress na pesa barabarani anatembea kama mwehu!
Hivyohivyo na mwanamke single umri umeenda hutembea Barbarani akisononeka moyoni mbona mm mzur wanaume kwa nn hawanioi, wananichezea tu!
Kila siku anawasiwasi sababu ya kukosa kileleni!
Mwanamke uwe na pesa bwana! Huo upuuzi wanaufanya wanawake wanaotafuta pa kuponea.Sijawahi sikia mwanaume akienda kwa waganga/kanisani kuombewa apate mke, lakini kwa manawake hilo ni jambo la kawaida.
Wanao onekana machangudoa ni wasio na kipato, wa natafuta tafuta wanaume wapate pa kuponea. Mwanamke tafuta pesa, ndoa ni upuuzi tu na stress za kujitakia. Labda upate mtu sahihi lakini unazoa kila uchafu eti mwanaume! Nikujichimbia kaburi.Tatizo ni kuonekana kama changudoa flani hivi yaani zoa zoa kimtindo!
Tunataka mpungeze vigezo vya kuchagua mwanaume! Mara hand same and tall, degree, pesa! Umbo saizi ya kat, kitambi no, kabila, dini , nkAisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..
kwani nawewe bado mama?Aisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..
Sisi Tanzania umr huo wanawake wengi wanapiga umbea tu wakishauriana kujaza gunia la vigezo mwanaume anayefaa kufunga nae pingu!Wenzako miaka 26, 27, 28 hadi 32 wanawazia promotion kwenye kazi zao, au next vacation in the Caribbean islands wewe unawaza ndoa?
Na wanaume wanaowapata wanafanana nao haswaaSisi Tanzania umr huo wanawake wengi wanapiga umbea tu wakishauriana kujaza gunia la vigezo mwanaume anayefaa kufunga nae pingu!
Tena hao wenye kipato na kazi nzuri ndio zoa zoa usiombe na cha ajabu mara nyingi huwa wanapeleka mpaka home,Wanao onekana machangudoa ni wasio na kipato, wa natafuta tafuta wanaume wapate pa kuponea. Mwanamke tafuta pesa, ndoa ni upuuzi tu na stress za kujitakia. Labda upate mtu sahihi lakini unazoa kila uchafu eti mwanaume! Nikujichimbia kaburi.
Unaumwa wewe..kwani ninyi kigezo cha mke ni K tu? Mbona mnakuwa wabinafsi hivyo?Tunataka mpungeze vigezo vya kuchagua mwanaume! Mara hand same and tall, degree, pesa! Umbo saizi ya kat, kitambi no, kabila, dini , nk
Kigezo kikubwa kiwe kimoja tu DUSHEE! yaani ume unaosimama imara na kufanya kazi vyema! Hapo wanawake wengi mtafurahia maisha ya kileleni!
Aisee unajua kuitendea haki Id yakoNa wanaume wanaowapata wanafanana nao haswaa
Kifupi ukiendekeza lifestyle ya kijinga utapata marafiki wa aina hiyo hiyo na pengine ukiwa na family watoto nao watafuata namna hiyo hiyo ya maisha
Ushauri ni huu, watu wajitahidi kujisomea, si lazima uingie darasani, you have internet on the tips of your finger, use that for your own advantage, you must think of yourself as a winner not a loser.
Pia watu wajifunze networking. Usikae tu kwenye mtandao kusoma porojo.
Jenga urafiki na watu waliofanikiwa. Uliza maswali.....ndiyo mbinu hizo.
Ukibaki nyuma ni wewe umeamua hivyo
Tunataka muanze kututongoza ili tuwaoe!Aisee kwa hiyo mnataka tufanyeje eti..