Mwanamke: Usafi wa K ni zaidi ya muhimu, harufu mbaya zimezidi

Na wale mnaowanunua hivi wanaosha kweli maana anatoka kupigwa na huyu alafu anakuja mwingine anapiga au ndo mnapasiana kimtindo
 
Mkuu hadi tyaphoid unaipata kwenye papuchi, wewe noma sana.
Kuna K moja juzi kati hapa nikaipiga deki bhana weeee, hii UTI na Typhoid inayonigandamiza now sijui kama itaniacha salama.
 
Hapa utakuwa unaongelea wa mikoani sio dar asee. Kama dar mwanaume anaweza oga zaid ya mara mbili kwa siku, mwanamke anaanzaje kukaa siku nzima bila kuoga?
 
Tuambiane ukweli tuwapo faraghani, unagoma kulamba/nyonya hadi ajiweke safi, mbele ya mzigo lzm akuskilize
Kuambizana ukweli ndo solution kwa kweli maana mambo mengine hayavumiliki halafu yanaondoa mood
 
Yaan kuna wanaume kila siku wanang'ang'ana kusema nataka mwanamke msafi wakati wao wenyewe tu kuoga mara moja kwa siku mtihani

Nani alisema sisi tunavumilia uchafu?
 
Tatizo mkiambiwa ukweli mnajib, umenichoka eh? Na umr huu unanifundisha kuoga? Alaf mnabana pamaja hamtoi tena papuchi
Mtu anayependa kujirekebisha akiambiwa ukweli hatakuwa mkali...halafu kwa nn had uambiwe? Kwa nn mtu usijizatiti? Maana ukiona hadi mtu amekwambia maana yake amefikia point hawez kuvumilia tena uchafu wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…