Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Hizo ni hasira tuu na inawezekana huwa hamaanishi. Wanawake silaha yao kubwa ni maneno ya kuuumiza ndo tunatumia kumuadhibu mwingine.
Ila kama anakuambia hayo mkiwa katika mazingira ya kawaida kabisaa hakuna ugomvi inabidi ujiandae anaweza kukuacha au kuna mwanaume mwingine anakula mzigo..... Jaribu kumfuatilia kwa makini utagundua kitu.
Akikuambia nakuchukia mwambie naomba tuachane halafu uone atakavyolipokea
Ila kama anakuambia hayo mkiwa katika mazingira ya kawaida kabisaa hakuna ugomvi inabidi ujiandae anaweza kukuacha au kuna mwanaume mwingine anakula mzigo..... Jaribu kumfuatilia kwa makini utagundua kitu.
Akikuambia nakuchukia mwambie naomba tuachane halafu uone atakavyolipokea