johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Nawauliza tu waungwana kama Bandarini patachanganya kwa kuwasili Mimeli mikubwa mikubwa je kuna haja ya Soko la Samaki na Kivuko kuendelea kuwepo pale Ferry?
Au Soko lihamishiwe Msasani na Kunduchi?
Nawatakia Dominica Njema 😄
Au Soko lihamishiwe Msasani na Kunduchi?
Nawatakia Dominica Njema 😄