Mwanamke uliyeolewa, usifanye makosa haya

Lakini cha ajabu utakuta mwanaume anaambiwa ni sawa yeye kufanya hayo na wanawake wengine, ukiuliza ni kwa misingi gani hutapewa jibu la maana zaidi ya kuambiwa usishindane na mwanaume na kuitwa majina ya ajabu ajabu sijui feminist sijui single mother, nonsense!!
Mfumo dume.
 
Acheni kujificha kwenye mwamvuli wa "kuwachukia wanaume" mimi siwachukii wanaume bali nachukia mitazamo ya ajabu dhidi ya wanawake, lazima niseme ukweli tu hata kama hamtaki kuusikia tofautisha kati ya asili na mfumo kandamizi uliotengenezwa na wanaume, kiuhalisia misogynists ndio wako wengi na ndio wabaya na wa kuogopwa zaidi kuliko feminists tofauti na mnavyosema humu

Hata wazungu nao huwa wanaaminisha dunia kwamba ni asili mtu mweupe kumtawala mtu mweusi kwa sababu tu mtu mweupe ni tajiri na mtu mweusi ni masikini, na siku zote tajiri humtawala masikini lakini kiuhalisia hiyo siyo asili bali ni mfumo tu ambao wameutengeneza wao wenyewe, na kuupandikiza vichwani mwa watu weusi ili wajione inferior na wakubali kutawaliwa kirahisi bila ubishi

Hata pale ambapo watu weusi walianza kudai uhuru wa kujitawala wenyewe bado watu weupe wakaleta propaganda kuwa "tuliwaambia hawawezi kujitawala wenyewe ona sasa nchi zao bado ni masikini na viongozi wao ni mafisadi", ukiniambia kuwa utawala wa mwanaume kwa mwanamke uko kibiblia basi bila shaka utakuwa hujasoma kuhusu habari ya kina Shem, Ham, na Jafet na maneno waliyotamkiwa na baba yao Nuhu, sasa hayo wanayofanya watu weupe dhidi ya watu weusi yana tofauti gani na wanayofanya wanaume kwa wanawake
Umeandika mambo mengi sana mwisho umerudi kwenye point yako ya msingi ya kupambania usawa kati yako wewe mwanamke na mwanaume.

Tatizo umeninukuu vibaya mimi sikusema unawachukia wanaume nilichokushauri jitenge kwanza na mambo ya mahusiano kwa sababu unachokitaka wewe hakiwezekani na hakitakuja kiwezekane,na mkiendelea kulazimisha mtazidi kuumia.
 
Acheni kujificha kwenye mwamvuli wa "kuwachukia wanaume" mimi siwachukii wanaume bali nachukia mitazamo ya ajabu dhidi ya wanawake, lazima niseme ukweli tu hata kama hamtaki kuusikia tofautisha kati ya asili na mfumo kandamizi uliotengenezwa na wanaume, kiuhalisia misogynists ndio wako wengi na ndio wabaya na wa kuogopwa zaidi kuliko feminists tofauti na mnavyosema humu

Hata wazungu nao huwa wanaaminisha dunia kwamba ni asili mtu mweupe kumtawala mtu mweusi kwa sababu tu mtu mweupe ni tajiri na mtu mweusi ni masikini, na siku zote tajiri humtawala masikini lakini kiuhalisia hiyo siyo asili bali ni mfumo tu ambao wameutengeneza wao wenyewe, na kuupandikiza vichwani mwa watu weusi ili wajione inferior na wakubali kutawaliwa kirahisi bila ubishi

Hata pale ambapo watu weusi walianza kudai uhuru wa kujitawala wenyewe bado watu weupe wakaleta propaganda kuwa "tuliwaambia hawawezi kujitawala wenyewe ona sasa nchi zao bado ni masikini na viongozi wao ni mafisadi", ukiniambia kuwa utawala wa mwanaume kwa mwanamke uko kibiblia basi bila shaka utakuwa hujasoma kuhusu habari ya kina Shem, Ham, na Jafet na maneno waliyotamkiwa na baba yao Nuhu, sasa hayo wanayofanya watu weupe dhidi ya watu weusi yana tofauti gani na wanayofanya wanaume kwa wanawake
Wewe demu kimya au unataka dyudyu
 
Lakini cha ajabu utakuta mwanaume anaambiwa ni sawa yeye kufanya hayo na wanawake wengine, ukiuliza ni kwa misingi gani hutapewa jibu la maana zaidi ya kuambiwa usishindane na mwanaume na kuitwa majina ya ajabu ajabu sijui feminist sijui single mother, nonsense!!
  • Mwanaume anaoa mke zaidi ya mmoja hata 6 akiamua.
  • Mwanamke anaweza kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja?
  • Hamruhusiwi kwasababu nyie ni wapokeaji yaani wakuhudumiwa tu (nikuhudumie halafu u-cheat kisa mimi nina cheat, utaenda kwenu) ndiyo maana wanasema usishindane na mwanaume (boss).
  • Dunia nzima, mfumo unaotumika ni mfumo dume hakuna mfumo jike
 
Acheni kujificha kwenye mwamvuli wa "kuwachukia wanaume" mimi siwachukii wanaume bali nachukia mitazamo ya ajabu dhidi ya wanawake, lazima niseme ukweli tu hata kama hamtaki kuusikia tofautisha kati ya asili na mfumo kandamizi uliotengenezwa na wanaume, kiuhalisia misogynists ndio wako wengi na ndio wabaya na wa kuogopwa zaidi kuliko feminists tofauti na mnavyosema humu

Hata wazungu nao huwa wanaaminisha dunia kwamba ni asili mtu mweupe kumtawala mtu mweusi kwa sababu tu mtu mweupe ni tajiri na mtu mweusi ni masikini, na siku zote tajiri humtawala masikini lakini kiuhalisia hiyo siyo asili bali ni mfumo tu ambao wameutengeneza wao wenyewe, na kuupandikiza vichwani mwa watu weusi ili wajione inferior na wakubali kutawaliwa kirahisi bila ubishi

Hata pale ambapo watu weusi walianza kudai uhuru wa kujitawala wenyewe bado watu weupe wakaleta propaganda kuwa "tuliwaambia hawawezi kujitawala wenyewe ona sasa nchi zao bado ni masikini na viongozi wao ni mafisadi", ukiniambia kuwa utawala wa mwanaume kwa mwanamke uko kibiblia basi bila shaka utakuwa hujasoma kuhusu habari ya kina Shem, Ham, na Jafet na maneno waliyotamkiwa na baba yao Nuhu, sasa hayo wanayofanya watu weupe dhidi ya watu weusi yana tofauti gani na wanayofanya wanaume kwa wanawake
Kula yako, vaa yako, matibabu yako, n.k yote yanategemea mwanaume.
Hela ya mwanaume ndiyo inatumika hapo nyumbani 100% ya kwako unafanyia mambo yako tu hata kununua chumvi ya 300 ya kupikia mboga ambayo wewe unakula unaona kama unamnufaisha sana mwanaume.
Simaniishi kuwa na nyie umsaidie mwanaume hapana ila mpo kwenye kundi la special group.
Mfano. Unaweza kumtoa out mwanamke anayefanya kazi benk ila ukapungikiwa 5,000 tu kwenye bill na mwanamke anajua ila utashangaa mwanamke hajiongezi itabidi umpigie mshikaji akukopeshe hela.
Kwahiyo msishindane na mwanaume, kama jamaa yako anacheat na wewe ukacheat atakutimua hata mimi nakutimua tu hata km ukigundua mimi na cheat. Wanaume wote ndiyo tupo hivyo
 
Umeandika mambo mengi sana tatizo umeninukuu vibaya mimi sikusema unawachukia wanaume nilichokushauri jitenge kwanza na mambo ya mahusiano kwa sababu unachokitaka wewe hakiwezekani na hakitakuja kiwezekane.

Na mkiendelea kulazimisha mtazidi kuumia.
Wewe unajuaje kama nina mahusiano tuanzie hapo kwanza, suala siyo mimi kutaka au kutokutaka suala ni wanaume waache kujifariji wakubaliane na uhalisia wa kwenye dunia ya sasa, hii itapunguza malalamiko yao maana nadhani unajionea hali halisi siku hizi ni jinsia gani inaongoza kulalamika kuhusu mahusiano na ndoa
 
  • Mwanaume anaoa mke zaidi ya mmoja hata 6 akiamua.
  • Mwanamke anaweza kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja?
  • Hamruhusiwi kwasababu nyie ni wapokeaji yaani wakuhudumiwa tu (nikuhudumie halafu u-cheat kisa mimi nina cheat, utaenda kwenu) ndiyo maana wanasema usishindane na mwanaume (boss).
  • Dunia nzima, mfumo unaotumika ni mfumo dume hakuna mfumo jike
Oohh kwahiyo kama mwanamke anamhudumia mwanaume anaruhusiwa kucheat ila huyo mwanaume haruhusiwi siyo, yes kuna jamii zinaruhusu wanawake kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja, by the way unafahamu population ratio ya dunia kati ya wanaume na wanawake
 
Kula yako, vaa yako, matibabu yako, n.k yote yanategemea mwanaume.
Hela ya mwanaume ndiyo inatumika hapo nyumbani 100% ya kwako unafanyia mambo yako tu hata kununua chumvi ya 300 ya kupikia mboga ambayo wewe unakula unaona kama unamnufaisha sana mwanaume.
Simaniishi kuwa na nyie umsaidie mwanaume hapana ila mpo kwenye kundi la special group.
Mfano. Unaweza kumtoa out mwanamke anayefanya kazi benk ila ukapungikiwa 5,000 tu kwenye bill na mwanamke anajua ila utashangaa mwanamke hajiongezi itabidi umpigie mshikaji akukopeshe hela.
Kwahiyo msishindane na mwanaume, kama jamaa yako anacheat na wewe ukacheat atakutimua hata mimi nakutimua tu hata km ukigundua mimi na cheat. Wanaume wote ndiyo tupo hivyo
Nawe nakuuliza kwahiyo katika scenario ambayo mwanamke anamhudumia mwanaume basi mwanamke anaruhusiwa kucheat ila mwanaume haruhusiwi, sasa kama ninyi mnaona kuhudumia wanawake ni jambo la kulalamika kwanini mnataka wanawake nao wasilalamike mnapocheat, ni kama vile mnalichukia hilo jukumu la kuhudumia wanawake ila mnalifanya basi tu na ndio maana mnaamua kulipiza kwa kuwanyanyasa kihisia siyo
 
Lakini cha ajabu utakuta mwanaume anaambiwa ni sawa yeye kufanya hayo na wanawake wengine, ukiuliza ni kwa misingi gani hutapewa jibu la maana zaidi ya kuambiwa usishindane na mwanaume na kuitwa majina ya ajabu ajabu sijui feminist sijui single mother, nonsense!!
Wanaume wamekufanya nini dada?
 
Back
Top Bottom