kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Ukizoea kuwa mchepuko utaishia kuwa mchepuko tu labda ukipanda hadhi kidogo utaishia kuwa nyumba ndogo lakini ndoa utaisikia tu na kushuhudia harusi za wengine tu.
Usitumie ujana wako kwa maisha ya kuwa mchepuko utahangaika sana kupata ndoa.
Ushauri wa bure ukitaka zingatia, hutaki puuzia utayakuta mbele ya safari. Mkataa pema pabaya panamuita.
Usitumie ujana wako kwa maisha ya kuwa mchepuko utahangaika sana kupata ndoa.
Ushauri wa bure ukitaka zingatia, hutaki puuzia utayakuta mbele ya safari. Mkataa pema pabaya panamuita.