Mwanamke ukimkuna vizuri na huna mavumba unamchanganya sana

Mwanamke ukimkuna vizuri na huna mavumba unamchanganya sana

Tundusami

Senior Member
Joined
Feb 7, 2026
Posts
116
Reaction score
262
Sanaa ya ukunaji ni wachache wamejaliwa nayo .Ukunaji sio lazima uwe dushe kubwa ila ufundi tu Asa utakuta unampatia mwanamke unamkuna vizuri mpaka anaridhika ila huna mavumba huwezi kutatua mambo yake ya kifedha apo unamchanganya sana mwanamke.
 
Sanaa ya ukunaji ni wachache wamejaliwa nayo .Ukunaji sio lazima uwe dushe kubwa ila ufundi tu Asa utakuta unampatia mwanamke unamkuna vizuri mpaka anaridhika ila huna mavumba huwezi kutatua mambo yake ya kifedha apo unamchanganya sana mwanamke.
Hili ndio jambo muhimu na mimi siku zote,huu ndio msingi wangu napoingia kwenye uhusiano na mwanamke yoyote yule,kwenye 6×6 ni lazima nimkanyage sawasawa.Na siku zote kila demu niliyekuwa nae hakuacha kusema kila maneno kwenye sex.Na hata ambao tumezeeka nao,wengine wapo kwenye ndoa,wengine ni wajane wote hawaachi kunisia hadi leo.Aisee mimi mwanamke kwenye ngono sina huruma nae
 
Sanaa ya ukunaji ni wachache wamejaliwa nayo .Ukunaji sio lazima uwe dushe kubwa ila ufundi tu Asa utakuta unampatia mwanamke unamkuna vizuri mpaka anaridhika ila huna mavumba huwezi kutatua mambo yake ya kifedha apo unamchanganya sana mwanamke.
Lakini ni mpaka na hisia nawe, hana stress na hajang'olewa gear leaver!
 
Tupo mwaka 2026 na bado kuna watu mnaumiza kichwa kumridhisha mwanamke.!

Vijana,
kipaumbele cha mwanamke kwa mwanaune ni financial security, sio mahitaji ya kihisia.
Ndio hayo mahitaji ni muhimu,lakini kukunana ni muhimu mno as well
 
Ya kweli hayo?
Leo bana nimemcheki manz fulani alinipa namba wiki ilyopita, sikumcheki kwa wiki nzima, kidogo mara naumwa malaria , mimi pole, nikamtakia asubhi njema, mara kwahiyo unanitumia hela ya dawa au, yani ndio naulizwa hivo.😂😂😂
Seran
 
Ya kweli hayo?
Leo bana nimemcheki manz fulani alinipa namba wiki ilyopita, sikumcheki kwa wiki nzima, kidogo mara naumwa malaria , mimi pole, nikamtakia asubhi njema, mara kwahiyo unanitumia hela ya dawa au, yani ndio naulizwa hivo.😂😂😂
Seran
Siku hizi hauambiwi kama inauzwa. Utaambiwa tu nadaiwa hela ya mchezo, naumwa, dukani sijauza chochote tangu asubuhi n.k. Sasa hapo wewe ndio ujiongeze ufanye gamble ya kulipia kabla ya kuuziwa au ipangwe meeting ili ulipie pale pale utakapopewa huduma.
 
Ya kweli hayo?
Leo bana nimemcheki manz fulani alinipa namba wiki ilyopita, sikumcheki kwa wiki nzima, kidogo mara naumwa malaria , mimi pole, nikamtakia asubhi njema, mara kwahiyo unanitumia hela ya dawa au, yani ndio naulizwa hivo.😂😂😂
Seran
Mbona hivi ni vitu vya kawaida kabisa! Tena huyu anaomba mi unashtukia tu sitaki mazoea😂
Eti pole, woii🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀
 
Sanaa ya ukunaji ni wachache wamejaliwa nayo .Ukunaji sio lazima uwe dushe kubwa ila ufundi tu Asa utakuta unampatia mwanamke unamkuna vizuri mpaka anaridhika ila huna mavumba huwezi kutatua mambo yake ya kifedha apo unamchanganya sana mwanamke.
kazi ya sex ni kwaajili ya kuzaa tu, la sivyo ni mwanamke tu ndiye anaefaidi tendo la sex. Faida kuu anzopata mwanamke kwenye sex ni pamoja na
1. kujisikia raha kuliko mwanaume wakati ule
2. Kuimarika mfumo wake wa uzazi. sex inasababisha hormone balance inayoimarisha kuta za uzazi, afya ya matiti na cervix.
3. Shahawa ni kati ya vyanzo bora vya protein safi sana kwa mwanamke. Shahawa inatengenezwa kwa protein bora kabisa ambayo inaweza kuvyonzwa mwilini inapomwagwa popte kwenye uke au ngozi ya mwanake.
4. Sex ni chanzo cha mapato, lishe, nauli, vocha na pahala pa kulala kabla na baada ya sex.
5. Anapata mimba: Mimba ina faida kwa afya ya mama. Na hata mtoto akizaliwa atamhudumia mama yake zaidi kuliko baba yake.

Bahati mbaya tu Wanaume hawajui kuwa sex inamnufaisha mama zaidi kuliko mwanaume, mwanaume anakufa haraka zaidi kama akiendekeza sex wakati mwanamke anaweza kuishi miaka mingi zaidi kama ataendekeza sex ya mara kwara.
 
Mbona hivi ni vitu vya kawaida kabisa! Tena huyu anaomba mi unashtukia tu sitaki mazoea😂
Eti pole, woii🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀
kwahiyo unanitumia hela ya dawa au?
👆,😂😂😂😂 , wewe tulia watoto wakike nawajua vizuri.
 
Back
Top Bottom