he heeee kama ndivyo tusingekuwa na makahaba mjini hapa, coz wao wanaweza kutembea na wanaume 578,342 kwa mwaka mmoja nini hao 35 kwa miaka kadhaa?Jiandae na KANSA ya kizazi miaka si mingi
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi
Mh,jamani....mbona kuna wanaume wametembea na wanawake zaidi ya 100,wee unashangaa 35?mwacheni mwenzenu
aah jamani mutuwache tupumuwe!kakwambia nan idadi inaongeza size?km ndi hivyo bac wengine ingekuwa bahari!...ila mingu wa ajabu,tena unaweza kuta huyo ni mnato balaa
mkuu cyo hivyo lakini n kitu cha ajabu
23=35
35=?
like!, natumia simu mkuuNdo ulifikiri ushaingia na ID yako nyngine nn, ili mradi nawe umeposti co???
Miaka 23 umetembea na wanaume 35!! Wewe ni changudo au ni mwanamke gani? Midushelele 35 kwa size tofauti utakuja kutosheka na moja kweli!! Ni lazima uwe unatafuta maana moja haikutoshi. Una bahati kweli hukuukwaa!! Tupe siri ya mafanikio hukupata VVU!!! Dunia imekwisha au ni sisi tumekwisha!!!??
mkuu cyo hivyo lakini n kitu cha ajabu
23=35
35=?
[/COLOR]
Attach Hiko Cheti hapa.
duh we ni hatari ina maana kila baada ya ndani ya hiyo miaka 23 mwaka ulitoka na mwanaume mpya, plus kuna miaka sita uliyokuwa unagongwa na wanaume wawili kwa mpigo, we ni noumeeerrrrrrrr, mie nina 24 yrs so far nimetoka na wanaume watatu, hivyo ina maana ndani ya miaka nane nilitoka na men wa3 tu....punguza hiyo spidi una haribu mazingiza ya huko dauni shosti
Cha ajabu hapo nini sasa?Jesus!!!
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi
Cha ajabu hapo nini sasa?